Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sabaya wenzake wanusa miaka 200 jela
Habari za SiasaTangulizi

Sabaya wenzake wanusa miaka 200 jela

Lengai ole Sabaya
Spread the love

 

MASHITAKA sita yanayomkabili Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, nchini Tanzania, aliyesimamisha kazi, Lengai ole Sabaya, yaweza kumuweka kwenye kifungo cha miaka 200 gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, Sabaya anaweza kufungwa miaka 30 katika kila kosa katika makosa sita yanayomkabili yeye pamoja na wenzake watano.

Hata hivyo, endapo Sabaya na wenzake, watapatikana na hatia katika makosa yanayowakabili, wanaweza kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani, iwapo adhabu hiyo itakwenda kwa pamoja.

Wenzake ni; Enock Togolani Mnkeni (41), mkazi wa Arusha; Watson Stanley Mwahomange (27), mkazi wa Sakina, Arusha; John Odemba Aweyo, mkazi wa Arusha na Sylvester Wenceslaus Nyengu (26), mkazi wa Sokoni One, Arusha

Wakili anachambua kwa kina adhabu ambazo Sabaya na wenzake watakutana nazo kwenye mashtaka yanayowakabili kwa mahakimu wawili tofauti. Nafuu ipi wanaweza kuipata mahakamani. Zaidi soma Gazeti la Raia Mwema, la leo Jumatano, tarehe 9 Juni 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!