Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais wa Botswana awasili Tanzania
Habari za Siasa

Rais wa Botswana awasili Tanzania

Spread the love

 

RAIS wa Botswana, Dk. Mokgweets Masisi amewasilia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere, Dar es Salaam nchini Tanzania. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea).

Ndege iliyombeba Dk. Masisi, imewasili uwanjani hapo saa 5 asubuhi, leo Alhamisi, tarehe 10 Juni 2021 na kupokelewa na Waziri wa Mambo Nje wa Tanzania, Balozi Liberata Mulamula.

https://www.youtube.com/watch?v=uOyr2MuJASw

Mara baada ya kupokelewa, msafara wa Rais Masisi unakwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam ambapo atakuwa na mazungumzo na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Rais Masisi, atakuwa Tanzania kwa ziara ya siku mbili na kesho Ijumaa, ataondoka kurejea nchini mwake.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!