Thursday , 9 May 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Elimu

Shule iliyoshika mkia Sengerema, yazinduka

  SHULE ya Sekondari ya Kome, iliyopo Buchosa, Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, iliyokuwa ikishika nafasi ya mwisho kwa matokeo mabovu ya katika...

Kimataifa

Raila aambukizwa corona

  KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Mshirika wa Rais Assaad, afungwa Ujerumani

  MAHAKAMA nchini Ujerumani, imemhukumu kifungo cha miaka minne na nusu gerezani, afisa wa zamani wa Idara ya Usalama wa taifa wa Syria....

Kimataifa

Odinga apimwa COVID-19, alazwa hospitalini

  RAILA Odinga, kiongozi wa chama cha upinzani cha ODM, amefikishwa katika Hospitali ya Nairobi, Kenya na kuchukuliwa vipimo vya corona (COVID-19). Umeeleza...

Michezo

Simba kulipa kisasi kwa Tanzania Prisons?

  LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/21, inaendelea leo Jumatano tarehe 10 Machi 2021, ikizikutanisha Simba na Tanzania Prisons, katika Uwanja wa...

Kimataifa

Senegal mambo magumu

  HALI ya wasiwasi nchini Senegal, imezidi kutanda baada ya Ousmane Sonko (46), kiongozi wa upinzani kutuhumiwa kubaka. Mtandao wa Aljazeera unaripoti …...

Michezo

Kaze amrudisha Mwambusi Yanga, Msolla athibitisha

  MARA baada ya kocha Cedric Kaze kutimuliwa Yanga uongozi wa klabu hiyo umemrejesha aliyekuwa kocha wao msaidizi, Juma Mwambusi kuifundisha timu hiyo...

Michezo

Sakata la Metacha, Yanga, meneja wake wafunguka

  SAKATA la mlinda mlango wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Metecha Mnata limechukua sura mpya baada ya uongozi wa klabu...

Kimataifa

Rais Issoufou atunukiwa tuzo ya Mo Ibrahim

MAHAMADOU Issoufou, Rais Mstaafu wa Niger, ametunukiwa tuzo ya Mo Ibrahimu inayoonesha Ufanisi katika Uongozi kwa Afrika. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Rais Issoufou...

Michezo

CAF yafuta michuano ya Afcon U-17

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limefuta michuano ya kombe la mataifa Afrika chini ya miaka 17 (AfconU17), iliyokuwa ianze tarehe...

Michezo

Simba yaipeleka Al Merreikh CAF

  UONGOZI wa klabu ya Simba umtaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kufanya uchunguzi kuhusu klabu ya Al Merreikh kuchezesha wachezaji...

Kimataifa

Siku nne za Papa Francis Iraq

  ZIARA ya siku nne ya Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, nchini Iraq, zimehitimishwa leo Jumatatu tarehe 8 Machi 2021, huku...

MichezoTangulizi

Simba yamfukuzisha Kaze Yanga

  MCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Yanga, Ally Mayai amesema ubora wa kikosi cha Simba kwa sasa umechangia na kusukua, uongozi wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

TAKUKURU: Rushwa ya ngono ipo, fichueni

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imewataka wananchi kufichua vitendo vya rushwa ya ngono wanavyokutana navyo. Anaripoti Regina...

Michezo

Kocha mkongwe nchini ampigia chapuo Ndayilagije Yanga

  KOCHA mkongwe nchini, Joseph Kanakamfumu ambaye pia amewahi kuwa Mkurugezni wa Michezo wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Dar es...

Michezo

Taifa Stars kuingia kambini leo, kuivutia kasi Guinea

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inaingia kambini hii leo kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili ya kirafikia pamoja na...

Michezo

Namungo yapaa Morocco kuifuata Raja

  KIKOSI cha wachezaji wa Namungo pamoja na viongozi kimeondoka kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika...

MichezoTangulizi

Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga

  UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kuvunja benchi lote la ufundi sambamba na kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wao Cedric Kaze na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanakijiji DRC wavamia mlima wa dhahabu

  KANDA ya video inayoonesha wakazi wa Bukavu, Kivu katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokraia ya Kongo (DRC), wakiokota vipande vya dhabau, imesambaa...

Michezo

Simba yalazimisha sare Sudan, yaongeza pointi CAF

  VINARA wa Kundi A wa michuano ya Klabu Bingwa Afria, Simba ya Tanzania, imetoka sare ya bila kufungana na Al Merrikh, katika...

Michezo

Manula ‘out’ dhidi ya Al Merreikh

  KIPA namba moja wa klabu ya Simba, Aishi Manula anakosekana kwenye kikosi cha klabu hiyo kitakacho anza kwenye mchezo dhidi ya Al...

Michezo

Mtifuano VPL

  LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa michezo mitatu kupigwa kwenye viwanja tofauti ambapo Azam FC atakuwa ugenini Shinyanga...

MichezoTangulizi

Yanga yapigwa tatu na Simba, yashushwa kileleni

  TIMU ya Simba Queen imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya Yanga Princess kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake....

Michezo

Mshambuliaji Dodoma jiji ashinda tuzo

  ANWARI Jabir, mshambuliaji wa Dodoma Jiji, ameshinda tuzo ya mchezaji bora mwezi Februari 2021, kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)...

Michezo

Katwila awabwaga Makata, Simkoko tuzo VPL

  KOCHA wa kikosi cha Ihefu FC ya Mbeya, Zuber Katwila ameshinda tuzo ya kocha bora mwezi Februari 2021, kwenye Ligi Kuu Tanzania...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Chadema: Serikali itoe taarifa sahihi za corona, chanjo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Tanzania, kupima na kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Kimataifa

Milioni 91 wapona corona duniani

  MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19), ulimwenguni yamefikia milioni 116.22 huku waliopona maambukizi hayo wakiwa milioni 91.89. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Waliofariki kutokana...

Kimataifa

Papa Francis atembelea Iraq

  KIONGOZI wa Kanisa Katoliki ulimwenguni, Papa Francis, amepanga ziara ya historia nchini Iraq, kuanzia leo Ijumaa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa...

MichezoTangulizi

Yanga yapotea Tanga, yakubali kichapo cha mabao 2-1

  BAO la dakika ya 85 lilofungwa na Mudathir Abdallah lilitosha kuipatia ushindi wa mabao 2-1, timu ya Coastal Union dhidi ya Yanga...

Afya

Dk. Gwajima abaini hasara bilioni 1 hospitali ya Tumbi

  UCHUNGUZI wa tathmini ya uwepo wa thamani ya fedha katika utekelezaji wa mradi wa upanuzi na uboreshaji wa Hospitali ya Rufaa ya...

Afya

Kujifukiza elfu 5 Muhimbili

  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam (MNH), imefunga mashine nne za kutoa dawa kwa njia ya mvuke ili kusaidia wagonjwa...

Kimataifa

Kesi mauaji ya Jamal Khashoggi yaanza tena

MAHAKAMA ya mjini Istanbul nchini Uturuki, imeanza vikao vya kusikiliza kesi inayohusu mauaji ya aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa utawala wa Saudi Arabia na...

MichezoTangulizi

Simba yabadilishiwa muda wa mechi Sudan, sasa kukipiga saa 9

KIKOSI cha wachezaji 25 wa Simba pamoja na viongozi kimewasilini jijini Khartom nchini Sudan kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya mabingwa barani...

Michezo

Yanga kuwakosa nyota watano wakiivaa Coastal Union

  KOCHA wa Yanga, Cedric Kaze amesema atawakosa wachezaji watano kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union....

Michezo

Majizo amkingia kifua Lulu “aliambiwa ana uchumba sugu”

  FRANCIS Ciza maarufu Majizo, amejitokeza kumzungumzia mke wake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa uvumilivu aliouonyesha wakati wa uchumba wao na hatimaye ndoa. Anaripoti...

Kimataifa

Angola, Rwanda, DRC, Rwanda, Kenya zanufaika chanzo ya corona

  NCHI kadhaa Afrika ikiwa ni pamoja na Rwanda, Kenya, Uganda, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), tayari zimepokea chanjo ya...

Michezo

Monalisa awa msemaji wa Simba Queen

  KLABU ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtangaza muigizaji maarufu nchini humo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ kuwa msemaji wa timu ya...

Michezo

Manula arejea kikosini

  MLINDA mlango wa klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Tanzania Aishi Manula emerejea kwenye kikosi cha klabu yake hii leo...

Michezo

Morrison aachwa safari ya Sudan

  KLABU ya Simba itaondoka nchini leo kuelekea Khartoum, Sudan kuwavaa El Merreikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa tarehe 6...

Michezo

Yanga yaapa kuvunja mwiko Mkwakwani

  KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga, kikosi cha Yanga kimejipanga kuvunja mwiko ya kutopata...

MichezoTangulizi

Simba yaichapa Jkt, Yaisogelea Yanga

  USHINDI wa mabao matatu walioupata Simba dhidi ya JKT Tanzania, ulitosha kuwafanya kuibuka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

Afya

Gharama kipimo cha corona Z’bar yapaa

  KUPIMA virusi vya corona (COVID-19), visiwani Zanzibar sasa ni Dola za Marekani 80 (zaidi ya Sh.180,00), badala ya Sh.30,000 za awali. Anaripoti...

Michezo

Bumbuli huru, ashinda rufaa yake

  AFISA habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli ameshinda rufaa yake mara baada ya kufungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Uholanzi, Uturuki ‘waingia’ vitani

  BUNGE nchini Uholanzi, limepitisha muswaada unaoelekeza serikali ya nchi hiyo, kuyatambua mauaji ya Waarmenia, yaliyofanyika wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia,...

Kimataifa

Mauaji ya Jamal Khashoggi, CIA yaivua nguo Saudia Arabia

  RIPOTI mpya iliyotolewa na shirika la kijasusi la Marekani (CIA), imemtaja mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia Arabia, Mohammed Bin Salman,...

Michezo

Manchester United kuivaa AC Milani, 16 bora Europa

  KLABU ya Manchester United itavaana na AC Milan kwenye hatua ya 16 ya michuano ya Kombe la Europa baada ya kuchezeshwa kwa...

Michezo

Poulsen awabakisha Mgunda, Matola Taifa Stars

  KIM Poulsen, kocha mpya wa Taifa Stars amelibakisha benchi lote la ufundi lilokuwa likitumiwa na Ettienne Ndayilagije wakiwemo makocha wasaidizi Selamani Matola...

Michezo

Kim awarudisha Yondani na Kessy Taifa Stars

  KOCHA mkuu wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen ameita jumla ya wachezaji 43 watakao ingia kambini...

Afya

COVID-19: Waziri Gwajima ‘matamko yametosha’

  DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania amesema, matamko kuhusu magonjwa ya kuambukiza ikiwemo...

Michezo

Namungo yafuzu makundi, yakubali kipigo bao 3-1

  LICHA ya kupoteza kwa mabao 3-1, kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Costo De Agosto...

error: Content is protected !!