Tuesday , 3 October 2023
Home Kitengo Michezo CAF yafuta michuano ya Afcon U-17
Michezo

CAF yafuta michuano ya Afcon U-17

Spread the love

 

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limefuta michuano ya kombe la mataifa Afrika chini ya miaka 17 (AfconU17), iliyokuwa ianze tarehe 13-31 Machi 2021, nchini Morocco. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

CAF imetolea uamuzi huo jana Jumatatu tarehe 8 Machi 2021, kupitia kamati yake ya dharura ya michuano hiyo na sababu kuu ikiwa ni ugonjwa unaosababishwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19) na masharti ya Kimataifa ya kusafiri.

Shirikisho hilo, limefuta michuano hiyo hadi hapo baadaye itakapotangazwa tena.

Uamuzi huo, umechukuliwa ikiwa tayari baadhi ya timu zinazoshiriki muchuano hiyo kama za Tanzania na Uganda, zimekwisha wasili nchini Morocco kwa maandalizi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

UEFA imekuja na maokoto yakutosha bashiri na Meridianbet sasa

Spread the love UTAMU wa kubeti ule bhana, na ukitaka kula ni...

BiasharaMichezo

BetPawa kuwasaidia Watanzania 20 awamu ya 2 ‘Dream Maker’

Spread the loveKAMPUNI  ya michezo ya kubahatisha ya BetPawa Tanzania,  jana Jumatatu...

Michezo

Taswa wampongeza Mobhare Matinyi

Spread the love  CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA),...

Michezo

Waziri madini atembelea banda la GGML, ashuhudia mradi wa uwanja wa kisasa

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya...

error: Content is protected !!