Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo CAF yafuta michuano ya Afcon U-17
Michezo

CAF yafuta michuano ya Afcon U-17

Spread the love

 

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limefuta michuano ya kombe la mataifa Afrika chini ya miaka 17 (AfconU17), iliyokuwa ianze tarehe 13-31 Machi 2021, nchini Morocco. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

CAF imetolea uamuzi huo jana Jumatatu tarehe 8 Machi 2021, kupitia kamati yake ya dharura ya michuano hiyo na sababu kuu ikiwa ni ugonjwa unaosababishwa na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19) na masharti ya Kimataifa ya kusafiri.

Shirikisho hilo, limefuta michuano hiyo hadi hapo baadaye itakapotangazwa tena.

Uamuzi huo, umechukuliwa ikiwa tayari baadhi ya timu zinazoshiriki muchuano hiyo kama za Tanzania na Uganda, zimekwisha wasili nchini Morocco kwa maandalizi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!