Categorizing posts based on content
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea tena leo, ambapo michezo miwili itapigwa kwenye viwanja tofauti. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Kelvin MwaipunguApril 8, 2021KIKOSI cha wachezaji pamoja na viongozi wa klabu ya Simba umewasili salama jijini Cairo, Misri kwa ajili wa Ligi ya Mabingwa dhidi...
By Kelvin MwaipunguApril 7, 2021VJOSA Osmani-Sadriu (38), ameapishwa kuwa Rais wa Kosovo, na kaundika historia ya kuwa mwanamke wa kwanza mwenye umri mdogo duniani kushika wadhifa...
By Mwandishi WetuApril 7, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba, Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki barani Afrika mara baada ya kuwashinda, Ricardo Goss wa Mamelodi...
By Kelvin MwaipunguApril 7, 2021UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema kuwa haujaridhishwa kufungiwa kwa miaka mitano kwa Makamu Mwenyekiti wao, Fredrick Mwakalebela baada ya kukutwa na...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2021KIKOSI cha wachezaji pamoja na viongozi wa klabu ya Simba wataondoka jioni ya leo tarehe 6 Aprili, 2021, kuelekea nchini Misri kwa...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2021HATUA ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA0 inataendelea hii leo, ambapo Real Madrid itashuka dimbani kuikabili Liverpool kwenye Uwanja...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2021VIONGOZI wa magereza nchini Nigeria, wameeleza jumla ya wafungwa 1,800 wametoroka jela baada ya watu wenye silaha kuvamia gereza la Owerri, kusini mwa...
By Masalu ErastoApril 6, 2021WACHEZAJI wawili wa kikosi cha Simba, Clatous Chama na Luis Miquisone wameingia kwenye kikosi cha kwanza cha wiki barani Afrika. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2021JUMLA ya watu 76 wamefariki dunia baada ya kuvamiwa na tope la volcano, mafuriko na upepo mkali nchini Indonesia. Inaripoti mitandao ya...
By Mwandishi WetuApril 5, 2021MCHEZO wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Namungo FC ya Dar es Salaam, Tanzania na Nkana ya Zambia, umechelewa kuanza kwa...
By Mwandishi WetuApril 4, 2021KOCHA wa klabu ya As Vita Florent Ibenge amesema hawezi kuhofia wala kuogopa kucheza na Simba kutokana na ubora waliokuwa nao kwa sasa...
By Kelvin MwaipunguApril 2, 2021KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano kujihusisha na mpira wa miguu, Makamu Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuApril 2, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemtaka Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul, kutetea...
By Kelvin MwaipunguApril 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekerwa na kitendo cha matumizi ya nguvu katika kukusanya kodi ikiwemo kuzifungia akaunti za wafanyabiashara na...
By Kelvin MwaipunguApril 1, 2021MSAFARA wa wachezaji 33 pamoja na viongozi wa klabu ya AS Vita kutoka Jamhuri ya Congo, utawasili jijini Dar es Salaama hii...
By Kelvin MwaipunguApril 1, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeiruhusu klabu ya Simba kuingiza mashabiki kwenye mchezo wao dhidi ya AS Vita kutoka Jamhuri...
By Kelvin MwaipunguApril 1, 2021BAADA ya Ligi Kuu Tanzania Bara kusimama kupisha michezo ya kimataifa na maombolezo, sasa itaendelea tena Aprili 8, 2021 kwa michezo miwili...
By Kelvin MwaipunguMarch 31, 2021KLABU ya Al Merreikh inayoshiki Ligi Kuu nchini Sudan imeonekana kutaka saini ya mlinda mlango wa klabu ya Simba na Timu ya...
By Kelvin MwaipunguMarch 30, 2021MARA baada ya tetesi za Mokoko Tonombe kutakiwa na klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini uongozi wa klabu hiyo...
By Kelvin MwaipunguMarch 30, 2021SARAH Obama (99), Bibi wa Rais wa zamani wa Marekani, Barrack Obama, amefariki dunia leo Jumatatu tarehe 29 Machi 2021, katika Hospitali...
By Mwandishi WetuMarch 29, 2021KOCHA Kim Poulsen ameweka wazi jeshi la wachezaji 30 litakalosafiri kutoka Nairobi nchini Kenya ambapo timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’...
By Kelvin MwaipunguMarch 23, 2021WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewashukuru na kuwapongeza wasanii wote nchini waliojitoa kutunga nyimbo mbali mbali za...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2021MKATABA mpya wa udhamini wa jezi waliongia klabu ya Manchester United wenye thamani ya Shilingi 703 bilioni, umemuibua Mwenyekiti wa Bodi ya...
By Kelvin MwaipunguMarch 22, 2021MARA baada ya kuapishwa kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, klabu mbalimbali za Ligi Kuu soka Tanzania Bara...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2021RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema, mchango uliotolewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli (61) kwa taifa hilo “hauwezi kusahaulika.”...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021KUFUATIA kifo cha Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dk. John Magufuli, klabu mbalimbali za Ligi Kuu Tanzania Bara zimetuma salamu...
By Kelvin MwaipunguMarch 18, 2021SHIRIKISHO la mpira wa Miguu Tanzania limesimamisha michezo yote kwa muda wa wiki mbili kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano...
By Kelvin MwaipunguMarch 18, 2021NAHODHA wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta amewaomba wananchi, kushikamana katika kipindi hiki cha majonzi ya kumpoteza, Rais...
By Masalu ErastoMarch 18, 2021TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, kilichotokea jana Jumatano tarehe 17 Machi...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021NDIYO hivyo. Kikosi cha Namungo FC kimepoteza mchezo wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids kutoka nchini Misri kwa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Simba, Luis Miquissone amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Februari 2021 wa klabu hiyo na kukabidhiwa fedha...
By Kelvin MwaipunguMarch 17, 2021KLABU ya Simba imeingia mkataba na kampuni ya Emirates Aluminium Profile ambao watakuwa wanatoa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi, ambaue atakuwa...
By Kelvin MwaipunguMarch 17, 2021KATI ya raia wanane walioshambuliwa na kupoteza maisha Atlanta, Georgia nchini Marekani, sita ni Wamarekani wenye asili ya Asia. Inaripoti mitandao ya...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021SAFARI ya timu ya Simba ya Tanzania, katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, imeshika kasi, baada ya kuibuka na ushindi wa 3-0,...
By Kelvin MwaipunguMarch 16, 2021KUELEKEA mchezo wao dhidi ya Namungo FC, kocha wa kikosi cha Pyramids FC, Rodolfo Arrubarrena pamoja na nahodha wake, Abdallah El Said...
By Kelvin MwaipunguMarch 16, 2021WANAMGAMBO wa kundi la Al shabab wanatajwa kuchinja watoto kadhaa katika Mkoa wa Cabo Delgado, nchini Msumbiji. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021TIMU ya soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya Tanzania ‘Taifa Stars.’ Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Hamisi MgutaMarch 15, 2021TUZO kubwa ulimwenguni, zinazotolewa nchini Marekani maarufu ‘Grammy,’ zimeshuhudia gwiji wa muziki, Beyonce akiweka rekodi kwa kushinda na kufikisha tuzo 28 tangu...
By Hamisi MgutaMarch 15, 2021KOCHA wa Simba ya Dar es Salaam, Didier Gomes amesema, mchezo wao dhidi ya Al Merrikh ya Sudan, utakuwa mgumu lakini “lazima...
By Hamisi MgutaMarch 15, 2021SERIKALI ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imeahirisha kampeni ya kutoa chanjo ya AstraZeneca, ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2021KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha Orange Democratic Movement (ODM), Raila Odinga, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Nairobi, alipokuwa amelazwa baada...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amewahimiza Watanzania kula lishe bora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Katavi…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 13, 2021RAIS mpya wa shirikisho la kandanda barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, ameomba umoja wakati akitafuta kurejesha sifa ya shirika hilo. Anaandika Mwandishi...
By Hamisi MgutaMarch 13, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limeagiza mechi kati ya Simba SC na Al-Merrikh ya Sudani, inayotarajiwa kufanyika tarehe 16...
By Regina MkondeMarch 13, 2021SERIKALI ya Kenya, imepoteza jumla ya Ksh. 560 Bilioni (zaidi ya Tsh. 11 trilioni), tangu ilipokumbwa na mlipuko wa uonjwa wa corona...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021MMILIKI wa klabu ya Mamelod Sundown Patrice Motsepe amechaguliwa kuwa Rais mpya wa shirikisho la mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) akichukua...
By Kelvin MwaipunguMarch 12, 2021SHULE ya Sekondari ya Kome, iliyopo Buchosa, Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, iliyokuwa ikishika nafasi ya mwisho kwa matokeo mabovu ya katika...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021MAHAKAMA nchini Ujerumani, imemhukumu kifungo cha miaka minne na nusu gerezani, afisa wa zamani wa Idara ya Usalama wa taifa wa Syria....
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021