Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba yaomboleza kifo cha Rais Magufuli
Michezo

Simba yaomboleza kifo cha Rais Magufuli

Spread the love

 

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, kilichotokea jana Jumatano tarehe 17 Machi 2021, Katika Hospital ya Mzena, mkoani Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa za kifo hicho, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan ambaye ametangaza siku 14 za maombolezo na bendere zitapepea nusu mlingoni.

Taarifa kamili ya Simba hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!