Friday , 29 September 2023
Kimataifa

Raila aambukizwa corona

Raila Odinga akiwa hospitali akipatiwa vipimo
Spread the love

 

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Raila ambaye ni waziri mkuu mstaafu, alifanyiwa vipimo kadhaa Jumanne ya hiki hii katika Hospitali ya Nairobi, baada ya kulalamika, kutojisikia vizuri.

Jana Alhamisi tarehe 10 Machi 2021, Dk. David Oluoch-Olunya, daktari wa Raila (76), alitoa taarifa kwa umma kuhusu majibu ya vipimo akisema, Raila ameyapokea vyema majibu na anaendelea na matibabu katika hospitaloi hiyo.

Raila amekuwa kiongozi wa kwanza ngazi ya juu wa Kenya, kupimwa na kukutwa na maambukizi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the loveWADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani...

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

error: Content is protected !!