Wednesday , 24 April 2024
Kimataifa

Raila aambukizwa corona

Raila Odinga akiwa hospitali akipatiwa vipimo
Spread the love

 

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Raila ambaye ni waziri mkuu mstaafu, alifanyiwa vipimo kadhaa Jumanne ya hiki hii katika Hospitali ya Nairobi, baada ya kulalamika, kutojisikia vizuri.

Jana Alhamisi tarehe 10 Machi 2021, Dk. David Oluoch-Olunya, daktari wa Raila (76), alitoa taarifa kwa umma kuhusu majibu ya vipimo akisema, Raila ameyapokea vyema majibu na anaendelea na matibabu katika hospitaloi hiyo.

Raila amekuwa kiongozi wa kwanza ngazi ya juu wa Kenya, kupimwa na kukutwa na maambukizi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!