Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Kenya yaichapa Stars 2-1
Michezo

Kenya yaichapa Stars 2-1

Spread the love

 

TIMU ya soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya Tanzania ‘Taifa Stars.’ Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mchezo huo, umepigwa leo Jumanne, tarehe 15 Machi 2021, Uwanja wa Nyayo na mchezo wa pili wa kirafiki utachezwa Alhamisi hii 18 Machi 2021, Uwanja wa Kasarani, kuanzia saa 1:00 usiku nchini humo.

Magoli hayo ya Harambee Stars, yamefungwa na Eric Kapaito dakika ya 20 na Abdalla Hassan dakika ya 58 huku goli la kufutia machozi la Taifa Stars, likitupiwa kimiani na Ayubu Lyanda dakika ya 38.

Stars iko Kenya kwa michezo hiyo ya kirafiki ili kujiandaa kwa michezo ya kufuzu michuano ya mataifa Afrika (AFCON) dhidi ya Equatorial Guinea na Libya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!