Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Kenya yaichapa Stars 2-1
Michezo

Kenya yaichapa Stars 2-1

Spread the love

 

TIMU ya soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya Tanzania ‘Taifa Stars.’ Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Mchezo huo, umepigwa leo Jumanne, tarehe 15 Machi 2021, Uwanja wa Nyayo na mchezo wa pili wa kirafiki utachezwa Alhamisi hii 18 Machi 2021, Uwanja wa Kasarani, kuanzia saa 1:00 usiku nchini humo.

Magoli hayo ya Harambee Stars, yamefungwa na Eric Kapaito dakika ya 20 na Abdalla Hassan dakika ya 58 huku goli la kufutia machozi la Taifa Stars, likitupiwa kimiani na Ayubu Lyanda dakika ya 38.

Stars iko Kenya kwa michezo hiyo ya kirafiki ili kujiandaa kwa michezo ya kufuzu michuano ya mataifa Afrika (AFCON) dhidi ya Equatorial Guinea na Libya.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

error: Content is protected !!