Saturday , 27 April 2024

Kitengo

Categorizing posts based on content

Michezo

Simba yawaonya wachezaji na viongozi, “hatuna tatizo na FCC”

  BODI ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba jijini Dar es Salaam, imetoa onyo kwa wachezaji na viongozi wa timu hiyo watakaokwenda kinyume...

Michezo

Nkamia, Mangungu nani kuibuka Simba?

  WANACHAMA wa Klabu ya Simba, jijini Dar es Salaam, wamekutana kumchagua Mwenyekiti wa timu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

MichezoTangulizi

Simba yajitolea kutangaza Utalii Tanzania

  UONGOZI wa klabu ya Simba umekubaliana na Wizara ya Maliasili na Utalii kutangaza nchi kupitia jezi zao watakazotumia kwenye michuano ya Ligi...

AfyaHabari za Siasa

Ndugai ashtushwa gharama mashine za upumuaji

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshtushwa na gharama kubwa za mashine za kusaidia upumuaji kwa watu wenye tatizo hilo, zinazotolewa...

Michezo

Wapinzani wa Simba kucheza na Bayern Munich

  WAPINZANI wa Simba kwenye Michuano ya Klabu Bingwa Afrika, Al Ahly kutoka Misri wanatarajia kuvaana na FC Bayern Munich kutoka Ujerumani kwenye...

MichezoTangulizi

Yanga kujipima nguvu na African Sports

  KIKOSI cha Yanga kitashuka dimbani kuikabili African Sports kwenye mchezo wa kupima nguvu utakaochezwa majira ya saa 1 usiku kwenye dimba la...

MichezoTangulizi

Simba yala kiporo, yaisogelea Yanga

  USHINDI wa mabao 2-1, dhidi ya Dodoma jiji FC, umeifanya Simba kuondoka na pointi tatu muhimu kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma,...

Biashara

Licha ya uwepo wa corona, Benki Exim yatangaza faida

  BENKI ya Exim (Group) imetangaza kupata faida ya jumla ya Sh.25.3 bilioni (kabla ya kodi) kwa mwaka 2020, ikilinganishwa na hasara ya...

Afya

Chanjo ya corona: WHO yaitenga Tanzania, Burundi

  SHIRIKA la Afya duniani (WHO), limeiondoa Tanzania na Burundi katika orodha ya nchi za Afrika Mashariki zikazopewa chanjo ya virusi vya corona...

Michezo

Mkude arejea kambini

  KIUNGO wa klabu ya Simba, Jonas Mkude amerejea kambIni mara baada ya sakata lake kumalizika ndani ya klabu hiyo baada ya kutakiwa...

MichezoTangulizi

Uhondo wa Ligi Kuu Bara kurejea kesho

  LIGI Kuu Tanzania Bara inarejea tena kesho kwa kupigwa michezo miwili, ambapo Simba itakuwa Ugenini kuikabili Dodoma Jiji FC kwenye Uwanja wa...

Elimu

Mbunge ahoji ‘Kwanini tatizo la madawati haliishi?’ 

UPUNGUFU wa madawati katika baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari nchini, umekuwa ni tatizo sugu. Je, serikali inachukua hatua gani endelevu za...

Afya

COVID-19: Ureno yaelemewa, yaomba msaada Ujeruman  

KASI ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) nchini Ureno, inatikisa taifa hilo. Inaripoti mitandao ya kimataifa… (endelea). Serikali ya Ureno baada ya kuona...

Michezo

Ngorongoro Heroes kucheza michezo miwili ya kujipima nguvu

  TIMU ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes wanatarajia kucheza michezo miwili ya kirafiki kwa ajili ya...

Michezo

Julio alia na wachezaji Stars, ataka wajiongeze

  KOCHA wa timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20 (NgorongoroHeroes), Jamhuri Julio amelia na namna ya wachezaji wa timu ya...

Kimataifa

Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto

IKIWA imebaki wiki moja kwa Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini kuhitimisha mwaka mmoja wa Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), amesema kipindi...

Afya

Jafo atangaza siku 7 kupiga nyungu

  WAZIRI Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Seleman Jaffo ametangaza msimu wa tatu wa kujifukiza nyungu, ili kukabiliana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu...

Makala & UchambuziMichezoTangulizi

Taifa Stars imeshindwa kuendelea, ilipoishia

  MARA baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kwenye hatua ya makundi, timu ya...

Michezo

Kocha TP Mazembe avutiwa na kiungo wa Simba

  KOCHA wa kikosi cha TP Mazembe, Felix Mwamba ameonekana kuvutiwa na kiwango cha kiungo wa klabu ya Simba Laary Bwalya mara baada...

Michezo

Kocha mpya Simba awapandisha mizuka wachezaji

  NAHODHA msaidizi wa klabu ya Simba, Mohammed Hussein amesema kuwa ujio wa kocha wao mpya umeongeza mzuka kwa wachezaji katika kutimiza malengo...

AfyaHabari za Siasa

Magufuli aagiza madaktari waliokimbia kazini watafutwe

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza madaktari wanaopangiwa ajira katika hospitali za umma kisha wanakimbilia kwenye hospitali binafsi kwa kigezo cha masilahi...

Michezo

Simba kuanza kiporo na Dodoma Jiji

  BODI ya Ligi Tanzania Bara imetoa ratiba ya michezo iliyohairishwa kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi, ambapo klabu ya Simba itaanza kushuka...

Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja...

Michezo

Diamond: Nalipwa milioni 220 kwa mwezi

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnum’ amesema, kiwango cha fedha anachoingiza kwa mwezi, kutokana na mikataba mbalimbali ya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Maambukizi ya corona: Taifa njia panda

  MKANG’ANYIKO wa taarifa juu ya virusi hatari vya corona (Covid-19), nchini Tanzania, unazidi kuwaweka wananchi njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Michezo

Bumbuli: Sijaridhika na hukumu, nitakata rufaa

  MARA baada ya kufungiwa miaka mitatu kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu ndani na nje ya nchi na Kamati ya Maadili...

Afya

Rais Magufuli aahidi makubwa sekta ya Afya

  RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli amesema serikali yake itaendelea kuboresha sekta ya afya ili wananchi wapate huduma bora za afya. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Taifa Stars ‘out’ CHAN

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars ) imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) baada...

Michezo

Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3

  AFISA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu baada ya...

Michezo

Simba yashusha viingilio mchezo dhidi ya TP Mazembe

  UONGOZI wa klabu ya Simba umeamua kushusha viingilio kutoka Sh. 3,000 mpaka Sh. 2,000, kwenye mchezo wao dhidi ya TP Mazembe kutoka...

MichezoTangulizi

Morrison ateka Show ya Simba Dar

  DAKIKA tatu zilizotosha kumfanya Bernard Morisson kuibuka mchezaji bora wa mechi mara baada ya kupachika mabao mawili kwenye mchezo wa Kombe la...

Michezo

Nizar Khalfan amrithi Mwambusi Yanga

  NIZAR Khalfan, ametangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Mabingwa wa Michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar, Yanga ya jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania....

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki watahadharisha maambukizi ya corona

  BARAZA la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), limetoa tahadhari kwa wananchi kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona na ugonjwa wa...

Michezo

Simba yasajili beki kitasa cha Zimbabwe

  KLABU ya Simba imekamilisha usajili wa beki wa kati, Peter Muduhwa raia wa Zimbabwe ambaye alikuwa kwenye michuano ya kombe la Mataifa...

Kimataifa

Kiongozi wa kiroho amshughulikia Rais Kenyatta

KIONGOZI wa kiroho wa Kanisa Katoliki la All Saints Cathedral, Nairobi nchini Kenya, Sammy Wainaina amemshangaa Rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta kwa...

MichezoTangulizi

Nizar Khalfan kwenye rada za Yanga

  WAKATI kikosi cha Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara kikiingia kambini hii leo kujiandaa na michezo ya mzunguko wa pili...

Michezo

Lampard kuwashiwa taa ya kijani Chelsea

  TAARIFA kutoka vyanzo mbalimbali nchini Uingereza vinasema huwenda muda wowote klabu ya Chelsea ikamtimua kocha wake wa sasa Frank Lampard kufuatia matokeo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mtanzania awa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo ya Brady

  JOYCE Singano, mwanasayansi na mtafiti, amekuwa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo maarufu inayotolewa kwa wataalamu wa maiamba duniani ‘Brady Meda.’ Inaripoti mitandao...

Michezo

Wachezaji watatu, timu ya Taifa Congo wakutwa na Corona

  KUELEKEA mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wandani (CHAN), wachezaji watatu wa...

Michezo

Yanga kuanza mazoezi leo

  BAADA ya mapumziko ya siku 10, hatimaye kikosi cha Yanga kitaanza mazoezi leo kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa...

Afya

Serikali yalaani askari aliyemtwanga makofi raia hospitali

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuumizwa na hatua ya askari wa ulinzi (SUMA – JKT)...

Michezo

Kocha mpya Simba: Namjua Kagere

  KOCHA mpya wa timu ya Simba, Didier Gomes amesema kuwa ameifuatilia kwa karibu Ligi Kuu ya Tanzania Bara na kuwafahamu baadhi ya...

MichezoTangulizi

Simba yamtambulisha Mfaransa kuwa kocha mpya

  UONGOZI wa klabu Simba umemtambulisha, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti...

Michezo

Liverpool kuikabili Manchester leo, Salah, Firmino kurejea

MARA baada ya kupoteza kwa bao 1-0, mbele ya Burnley, kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ataongoza kikosi chake kwenye Uwanja Old Trafford kuwakabili...

KimataifaTangulizi

Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi afungwa jela

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Daniel Ngoyi Mulunda, sasa yuko gerezani anakotumikia kifungo chake. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Mkude atozwa faini milioni 2, aitwa kambini

  KAMATI Nidhamu ya Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, imemkuta na hatia kiungo wa klabu hiyo, Jonas Mkude ya utovu wa...

Kimataifa

Waziri wa tatu afariki kwa corona Zimbambwe

  WAZIRI wa Usafirishaji wa Zimbabwe, Joel Biggie Matiza, amefariki dunia jana Ijumaa tarehe 22 Januari 2021, katika Hospitali ya St. Anne Harare...

Michezo

Stars kushuka dimbani, kuwakosa Nyoni, Bocco

  TIMU ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inashuka dimbani kucheza na Namibia kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi...

MichezoTangulizi

Sakata upasuaji wa Morrison, CEO wa Simba afunguka

  MTENDAJI Mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amemaliza sintofahamu juu ya winga wa timu hiyo, Bernard Morrison kuhusu taarifa zilikuwa zinaeleza...

Michezo

Jonas Mkude kikaangoni Simba

HATMA ya kiungo wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Jonas Mkude juu ya tuhuma za kinidhamu zinazomkabili, itajulikana kesho...

error: Content is protected !!