Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto
Kimataifa

Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto

Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini
Spread the love

IKIWA imebaki wiki moja kwa Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini kuhitimisha mwaka mmoja wa Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), amesema kipindi chake kilikuwa kama ubatizo wa moto. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Amesema, nafasi yake ya kusimamia shughuli za umoja huo zimekumbwa na dhoruba kubwa ikiwa ni pamoja na janga la visursi vya corona (COVID-19).

Wiki ijayo, Rais Ramaphosa atamkabidhi kijiti hicho Félix Tshisekedi, Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo ambaye naye atasimamia shughuli za AU kwa mwaka mmoja

“Kazi kubwa katika kipindi cha mwaka mzima uliopita ilikuwa ni kuliongoza bara wakati wa kipindi cha janga la dunia la corona.”

“Katika kipindi hicho, eneo huru la biashara (AfCFTA) liliweza kuzinduliwa na kutangazwa kwa ari mpya ya biashara baina ya mataifa ya Afrika na ushirikiano wa kiuchumi,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mpinzani mkuu wa Rais Kagame aachiwa huru

Spread the love  PAUL Rusesabagina, aliyewahi kuripotiwa kama ‘shujaa’ katika filamu ya...

Kimataifa

Rais Tshisekedi amteua kiongozi wa wanamgambo kuwa Waziri wa Ulinzi

Spread the love  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi,...

Kimataifa

Raila Odinga: Tutafanya maandamano makubwa mara mbili kwa wiki

Spread the love KIONGOZI wa upinzani nchini Kenya, Raila Amollo Odinga ametangaza...

Kimataifa

Magharibi kuwekeza silaha Indo-Pacific, China yachochea

Spread the love KUVUNJIKA ushirhikiano wa China na Magharibi uliodumu kwa takribani...

error: Content is protected !!