Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto
Kimataifa

Rais Ramaphosa: Uwenyekiti wangu AU kama ubatizo wa moto

Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini
Spread the love

IKIWA imebaki wiki moja kwa Cyril Ramaphosa, Rais wa Afrika Kusini kuhitimisha mwaka mmoja wa Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), amesema kipindi chake kilikuwa kama ubatizo wa moto. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Amesema, nafasi yake ya kusimamia shughuli za umoja huo zimekumbwa na dhoruba kubwa ikiwa ni pamoja na janga la visursi vya corona (COVID-19).

Wiki ijayo, Rais Ramaphosa atamkabidhi kijiti hicho Félix Tshisekedi, Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo ambaye naye atasimamia shughuli za AU kwa mwaka mmoja

“Kazi kubwa katika kipindi cha mwaka mzima uliopita ilikuwa ni kuliongoza bara wakati wa kipindi cha janga la dunia la corona.”

“Katika kipindi hicho, eneo huru la biashara (AfCFTA) liliweza kuzinduliwa na kutangazwa kwa ari mpya ya biashara baina ya mataifa ya Afrika na ushirikiano wa kiuchumi,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!