Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Corona: Raila Odinga atoka hospitalini
Kimataifa

Corona: Raila Odinga atoka hospitalini

Raila Odinga
Spread the love

 

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha Orange Democratic Movement
(ODM), Raila Odinga, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Nairobi, alipokuwa amelazwa baada ya kupimwa na kukutwa na maambukizi ya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Odinga, aliyewahi kuwa waziri mkuu mstaafu wa Kenya, alibainika kuambikizwa corona, Jumatano iliyopita ya tarehe 10 Machi 2021, katika hospitali hiyo na kulazimika kupumzishwa kwa matibabu zaidi.

Leo asubuhi Jumapili, tarehe 14 Machi 2021, Odinga ameruhusiwa kutoka na kurejea nyumbani, ambako ataendelea kupata matibabu, kufanya mazoezi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Nyumba ya babu yake Makamu wa Rais wa Marekani yatafutwa Zambia

Spread the love  KAMALA Harris, makamu wa rais wa Marekani, amepanga kutembelea...

Kimataifa

Benki ya Uswizi mbioni kuziwekea vikwazo akaunti za siri za Wachina

Spread the love  WAKATI Serikali na Benki ya Uswizi ikichukua hatua kali...

Kimataifa

Netanyau asitisha mipango yenye utata marekebisho mfumo wa sheria

Spread the love  WAZIRI Mkuu wa nchini Israel, Benjamin Netanyahu amesema atachelewesha...

Kimataifa

Raila ahutubia waandamanaji, mabomu yarindima

Spread the loveMSAFARA wa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga...

error: Content is protected !!