Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga
MichezoTangulizi

Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga

Cedric Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga
Spread the love

 

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kuvunja benchi lote la ufundi sambamba na kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wao Cedric Kaze na msaidizi wake Nizar Halfan. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Taarifa hiyo imekuja muda mchache mara baada ya Yanga kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu.

Wengine waliotimuliwa kwenye bechi hilo la ufundi ni kocha wa makipa Vladimir Niyonkuru, kocha wa viungo Edem Mortois pamoja na affisa usalama wa timu hiyo Mussa Mahundi.

Kuvunja kwa bechi hilo la ufundi ni kufuatia matokeo mabaya waliopata kwenye michezo sita ya Ligi Kuu Tanzania Bara toka kuanza kwa mzunguko wa pili.

Katika michezo hiyo sita yanga imefanikiwa kupata ushindi kwenye mchezo mmoja, imepoteza mmoja na kwenda sare mechi nne.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Wanachama 384 CUF watimkia Chadema, Mbowe awapokea, Kambaya ndani…

Spread the loveJUMLA ya wanachama 384 wanachama wa Chama cha Wananchi CUF...

error: Content is protected !!