Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga
MichezoTangulizi

Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga

Cedric Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga
Spread the love

 

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kuvunja benchi lote la ufundi sambamba na kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wao Cedric Kaze na msaidizi wake Nizar Halfan. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Taarifa hiyo imekuja muda mchache mara baada ya Yanga kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu.

Wengine waliotimuliwa kwenye bechi hilo la ufundi ni kocha wa makipa Vladimir Niyonkuru, kocha wa viungo Edem Mortois pamoja na affisa usalama wa timu hiyo Mussa Mahundi.

Kuvunja kwa bechi hilo la ufundi ni kufuatia matokeo mabaya waliopata kwenye michezo sita ya Ligi Kuu Tanzania Bara toka kuanza kwa mzunguko wa pili.

Katika michezo hiyo sita yanga imefanikiwa kupata ushindi kwenye mchezo mmoja, imepoteza mmoja na kwenda sare mechi nne.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

error: Content is protected !!