Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Usiyoyajua kuhusu Panya wapima TB
Habari MchanganyikoTangulizi

Usiyoyajua kuhusu Panya wapima TB

Spread the love

 

MAMBO yanabadilika kadri teknolojia inavyozidi kukua. Panya ni mnyama mwenye historia ya uharibifu tu akiingia ndani ya nyumba, lakini hii ni tofauti. anaripoti Hamis Mguta, Morogoro…(endelea).

Nchini Tanzania, kwa sasa tumeingia katika historia ya kumtumia mnyama huyu kwa mambo mbalimbali ya msingi kwa taifa, ikiwemo uteguaji wa mabomu, utambuzi wa sampuli za kifua kikuu na tafiti zingine mbalimbali.

MwanaHALISI Online na TV imefanikiwa kufika katika mradi wa Apopo unaofanyika katika Chuo cha Kilimo cha Sokoine mkoani Morogoro ambapo kimsingi kwa hapa Tanzania ndipo panya hao wanaofanya tafiti mbalimbali wanapofanyiwa mafunzo.

Yapo mengi tuliyozungumza na walimu na wasimamizi wa zoezi zima la upimaji pamoja na ufundishaji wa panya hao..

Tazama video hapo chini kujionea…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!