Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Namungo yapaa Morocco kuifuata Raja
Michezo

Namungo yapaa Morocco kuifuata Raja

Kikosi cha timu ya Namungo wakati wakiondoka nchini Tanzania
Spread the love

 

KIKOSI cha wachezaji wa Namungo pamoja na viongozi kimeondoka kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Raja Casablanca. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Namungo imeondoka jana majira ya saa 3:45 usiku kutoka Uwanja wa Julius Nyerere Dar es Salaam kuelekea nchini Morocco wakipitia Doha Qatar.

Mchezo huo wa kwanza wa kundi D, utapigwa tarehe 10 Machi 2021, kwenye mji wa Casablanca.

Namungo ambayo inashiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza imepangwa kwenye kundi D, sambamba na klabu za Raja Casablanca, Pyramid na Nkana Red Devil.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!