Tuesday , 30 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Uhuru yafurika kumuaga Dk. Magufuli, vilio vyatawala

  MAELFU ya wakati wa mkoa wa Dar es Salaam na maeneo jirani, wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania,...

Habari za Siasa

Mchakato Samia kupewa uenyekiti CCM waanza

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema wakati wowote kuanzia sasa, kitaitisha mkutano mkuu maalum wa kumpitisha Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa amwaga chozi mbele ya mwili wa Dk Magufuli

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amejikuta akibubujikwa machozi, mbele ya jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Dk. John...

Habari za Siasa

Askofu Ruwa’ichi: Magufuli alikuwa mpenda haki

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Juda Thadeus Ruwa’ichi, amemzungumzia Hayati Rais John Pombe Magufuli, akisema alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kuagwa Magufuli: Vilio vyatawala uwanja wa Uhuru

  VILIO na simanzi vimetawala Uwanja wa Uhuru mkoani Dar es Salaam, baada ya jeneza lenye mwili wa Hayati Rais John Pombe Magufuli...

Habari za SiasaTangulizi

Maelfu wajipanga barabarani kumuaga Dk. Magufuli

  MAELFU ya waombolezaji wamefurika katika viunga vya barabara ya Ali Hassani Mwinyi na Kawawa mkoani Dar es Salaam, kutoa heshima za mwisho...

Habari za Siasa

Kikwete alivyomzungumzia Magufuli, ampongeza Rais Samia

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema, kifo cha aliyekiwa Rais wa Taifa hilo, Dk. John Pombe Magufuli, kimewashtua wengi nani pigo...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa Dk. Magufuli kupelekwa Z’bar, kuzikwa Ijumaa Chato

  MWILI wa Hayati Rais wa awamu ya tano, John Pombe Magufuli (61), utazikwa Ijumaa ijayo ya tarehe 26 Machi 2021, badala ya...

Habari za Siasa

Mama Samia kuapishwa leo

  LEO Ijumaa saa 4:00 asubuhi, tarehe 19 Machi 2021, Ikulu ya Dar es Salaam, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ataapishwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amtwisha mzigo Mama Samia

  MWENYEKITI wa chama kikuu cha upinzani Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe amemtumia salamu Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kufuatilia kifo cha Rais...

Habari za Siasa

Mbatia: Waliokamatwa na polisi, waachwe huru

  JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amelitaka Jeshi la Polisi nchini Tanzania, kuwaachia Watanzania waliowakamata kwa tuhuma za kusema Rais John...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi: Huu ni msiba mzito

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za rambirambi kwa Mama Janeth Magufuli, familia...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitisha kamati kuu

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitisha kikao cha dharula cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu, kufuatia kifo cha aliyekuwa...

Habari za Siasa

Jinsi Zitto, Prof. Lipumba wanavyomzungumza JPM

  VYAMA vya Siasa nchini Tanzania vimeungana na viongozi mbalimbali kutoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha Rais John Magufuli kilichotokea jana...

Habari za SiasaTangulizi

Hivi ndivyo Mama Samia atakavyochukua madaraka

  MAMA Samia Hassani Suluhu, Makamu wa Rais wa Jamhuri, aweza kuapishwa muda wowote kutoka sasa, kushika madaraka ya rais. Anaripoti Yusuph Katimba,...

Habari za Siasa

Raila Odinga: Nimempoteza rafiki, Uingereza yashitushwa na kifo cha JPM

  WAZIRI mkuu mstaafu wa Kenya na Kiongozi wa Upinzani nchini humo, Raila Odinga ametoa wito kwa Watanzania kudumisha amani, wakati huu wa...

Habari za Siasa

Tanzania yakumbwa na msiba mwingine mzito

  JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anakuwa kiongozi wa tatu wa juu wa taifa hilo, kufariki dunia ndani...

Habari za SiasaTangulizi

Huyu ndiye John Magufuli aliyetutoka 1959-2021

  DK. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amehitimisha safari ya miaka 61 ya maisha yake hapa duniani. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli afarika dunia

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 17 Machi 2021, saa 12:00, katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Samia: CCM iisaidie serikali

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassani amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kusaidia serikali katika utekelezaji wa majukumu yake. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Madiwani wakwapuaji waahidiwa kibano

  MAKAMU wa Rais Tanzania, Samia Suluhu Hassani amewaonya tabia ya madiwani kutumia fedha za mifuko ya kuwezesha wananchi kwa ajili ya masilahi...

Habari za Siasa

Waziri Aweso aonya mamlaka za maji

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameonya tabia ya watumishi wa mamlaka za maji kuwabambikia bili za maji wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga …...

Habari za Siasa

Mambosasa aonya wanaomzushia Magufuli ugonjwa

  LAZARO Mambosasa, Kamanda wa Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, amewataka watu wanaosambaza taarifa, kwamba Rais John Magufuli mgonjwa,...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee awaingiza ‘vitani’ watatu Bawacha

  WANACHAMA watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitosa kusaka nafasi ya kukaimu nafasi ya mwenyekiti wa Baraza la Wanawane la...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ‘achambua’ kauli ya Mama Samia, Majaliwa

  ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amesema kauli ya Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Samia abeba ahadi ya Rais Magufuli Tanga

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani ameahidi kusimamia ujenzi wa barabara ya Korogwe Vijijini hadi Tanga Mjini, ili kutekeleza ahadi...

Habari za SiasaTangulizi

Kiwanga ajitosa kuwania ‘kiti cha Mdee’

  JINA la Susan Kiwanga, limeingia kwenye orodha ya wanachama wa Chadema wanawania nafasi ya Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama...

Habari za Siasa

RC Chalamila ‘akomalia’ daladala Mbeya

  ALBER Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amesema, serikali haitaondoa bajaji wala pikipiki (bodaboda), kufanya biashara ya kusafirisha abiria katika barabara kuu....

Habari za SiasaTangulizi

Mama Samia: Ni wakati muhimu Watanzania tushikamane

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, hakuna kipindi ambacho taifa hilo, lipanaswa kujenga umoja, kama kipindi hiki cha sasa....

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yajitosa sakata la Rais Magufuli

CHAMA cha upinzani nchini Tanzania – NCCR-Mageuzi – kimekoleza moto katika mjadala unaohusu mahali alipo Rais John Pombe Magufuli. Anaripoti Matrida Peter Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Akamatwa kwa kusambaza taarifa ‘JPM mgonjwa’

CHARLES Majura (35), fundi simu na mkazi wa Dar es Salaam, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kwa madai ya kusambaza...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wamsaka Kigogo

  JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar es Salaam linamsaka mwanaharakati anayejiita jina la Kigogo katika mtandao wa Twitter. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wahoji alipo Rais Magufuli, Majaliwa awajibu

CHAMA cha Demokrasia na Mandeleo (Chadema), kimeitaka serikali ya Tanzania kuvuja ukimya juu ya mahali alipo Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila: Nimezungumza na Rais Magufuli

  MKUU wa Mkoa wa Mbeya (RC), Albert Chalamika amesema, Rais wa Tanzania, John Magufuli yuko salama na anaendelea na majukumu yake kama...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanika mwelekeo wa bajeti, deni la taifa lazidi kupaa

  WAZIRI wa fedha na mipango wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango amesema, serikali imekopa kiasi cha dola za Marekani 463.8 milioni (Sh. 1.1...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ‘asaka’ dawa uvivu wa kulipa kodi

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango amesema, serikali iko mbioni kukamilisha utafiti kuhusu mwitikio mdogo wa walipakodi, kusajili biashara na uwazi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatimua wafuasi wengine wa Mdee

  WANACHAMA saba wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Mara wamevuliwa uanachama huku watatu wakiwekwa chini ya uangalizi kwa muda wa...

Habari za SiasaTangulizi

Uteuzi wa Dk. Bashiri utata mtupu

  KATIBU Mkuu Kiongozi (CS) wa Tanzania, Dk. Bashiru Ally, ameibua utata mpya wa kisheria, kufuatia kuendelea kuhudumu katika wadhifa wake wa katibu...

Habari za Siasa

Msafara wa Makamu wa Pili wa Rais Z’bar wapata ajali, mmoja afariki

  MSAFARA wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, uliokuwa njiani kuelekea Mkoa wa Kusini Unguja kwa ziara ya kikazi,...

Habari za SiasaTangulizi

Mrema: Mimi ni mzima

  MKURUGENZI wa Itifaki na Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania John Mrema amesema, “mimi ni mzima wa afya.”...

Habari za SiasaTangulizi

Maajabu kaburi la Maalim Seif

  BAADHI ya watu wanaokwenda kuzuru kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad (77), aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, wanadaiwa kuchota mchanga...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mahindi Kenya Vs Tanzania: Zitto aonesha njia

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikilalamikia hatua ya Kenya kuzuia mahindi yake kuingia nchini humo, Zitto Kabwe ameshauri diplomasia itumieke. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

COVID-19: Prof. Lipumba ‘watu wana hofu’

  PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema, wataalamu na wanasayansi Tanzania wamekuwa na hofu ya kueleza hali halisi kuhusu...

Habari za Siasa

CCM ya tetea wazawa miradi ya ujenzi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Tabora kimeiomba serikali kuwapa kipaumbele wazawa katika miradi ya ujenzi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea). Kauli...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aliacha siri nzito

  MANSOUR Yusuf Himid (53), mmoja wa wanasiasa machachari visiwani Zanzibar, ndiye aliyekuwa chaguo la kwanza la Maalim Seif Sharif Hamad, kutaka kurithi...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu Mkuu mpya CCM huyu hapa

MJADALA wa nani atakayeshika nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeanza kushika kasi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Mrithi wa Maalim Seif asisitiza umoja, mshikamo Z’bar

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amewataka wananchi visiwani humo, kudumisha umoja na mshikamano ambao ndiyo njia kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Corona yatinga Z’bar, Rais Mwinyi: Imeathiri watu wetu

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekiri hadharani kuwa visiwa hivyo, ambavyo ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vinakabiliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Bandari ya Kigoma yaipiku Mwanza

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusidedit Kakoko amesema, maboresho makubwa yaliyofanywa katika Bandari ya Kigoma yameanza...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Chadema: Serikali itoe taarifa sahihi za corona, chanjo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Tanzania, kupima na kutoa takwimu za maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

error: Content is protected !!