Tuesday , 30 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Askofu Shoo: Mungu kamemteua Rais Samia kuleta matumaini

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, amewataka Watanzania wasiwe na hofu juu ya uongozi wa Rais...

Habari za Siasa

Flaviana Charles, mwanamke pekee anayegombea urais TLS

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu tarehe 15 Aprili 2021, wa kuwapata viongozi mbalimbali wa chama hicho, ikiwemo nafasi ya urais....

Habari za Siasa

Rais Samia atoa ujumbe kwa Watanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watazania waendeleze utamaduni wao uliodumu kwa muda mrefu wa kushikamana, kupendana na kushirikiana ili kuhakikisha...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yasusia uchaguzi Muhambwe, yampa ujumbe Rais Samia

  CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetangaza kutoshiriki Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa maelezo kwamba dosari zilizojitokeza katika mchakato wa Uchaguzi...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Tutashiriki uchaguzi Muhambwe

CHAMA cha siasa cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimesema kinakwenda kushiriki na kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa Muhambwe, mkoani Kigoma utakaofanyika tarehe 2...

Habari za Siasa

Dk. Mpango atoa maagizo kwa Mwigulu, Jafo

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, kuongeza mapato ya nchi kutoka...

Habari za Siasa

Mrithi wa Dk. Bashiru aeleza alivyopokea taarifa za uteuzi

  KATIBU Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Hussein Athuman Kattanga, amesema, taarifa za uteuzi wa nafasi hiyo, alizipata akiwa Uwanja wa Ndege wa...

Habari za Siasa

Rais Samia kupangua makatibu wakuu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, atafanya mabadiliko ya makatibu wakuu wa wizara mbalimbali hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaonya wanaousaka urais 2025

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa onyo kwa wanasiasa walioanza kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 akisema “kila...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yasusa uchaguzi Muhambwe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa madai  hautakuwa huru na haki. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mawaziri watatu hawajaguswa tangu 2015 

  LICHA Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko mara kadhaa tangu mwaka 2015, mawaziri watatu na naibu waziri mmoja bado hawajaguswa. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru, wenzake waapishwa bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewaapisha wabunge watatu akiwemo Dk. Bashiru Ally. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Walioapishwa ni;...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri, kwa kuteua mawaziri na manaibu waziri wapya. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Dk Mpango: Sitakua kama Yuda, niko tayari nitume

  MAKAMU mpya wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuahidi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kuwa katika utekelezaji wa majukumu...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru akaa Ikulu siku 32, apewa ubunge

  DAKTARI Bashiru Ally, aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, amehudumu nafasi hiyo nyeti ndani ya Ikulu ya Tanzania kwa siku 32. Anaripoti Matrida Peter,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango aapishwa makamu wa Rais Tanzania

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amemwapisha Dk. Philip Isdor Mpango, kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Nape ataka elimu bure ifumuliwe, Silinde amjibu

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, ameishauri Serikali ya Tanzania, ifanyie marekebisho sera ya elimu bila...

Habari za Siasa

Mkutano mkuu CCM Aprili 30, Dk. Samizi …

  MKUTANO mkuu maalum wa chama tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), utafanyika tarehe 30 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mjadala Katiba mpya wawagawa wabunge

  WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamegawanyika juu ya mchakato wa Katiba mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Walikuwa wakichangia...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi wanne

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wanne. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Uteuzi huo, ameufanya...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji alikozaliwa, zikwa Mwalimu Nyerere kukosa maji

  MBUNGE Viti Maalumu asiye na chama bungeni, Agnesta Lambart, amehoji lini Serikali itapeleka majisafi na salama katika Wilaya ya Butiama mkoani Mara,...

Habari za Siasa

Mfahamu Dk. Philip Mpango

  DAKTARI Phillip Isdor Mpango, mtaalamu wa masuala ya uchumi aliyependekezwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania na Rais Samia Suluhu Hassan, alizaliwa...

Habari za Siasa

Dk. Mpango kuendeleza miradi ya Magufuli

  MAKAMU wa Rais mteule wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, ameahidi kuiendeleza miradi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ili...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Dk. Mpango amepoteza sifa ya ubunge, NEC…

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameitaarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuwa Jimbo la Buhigwe, mkoani Kigoma liko wazi...

Habari za Siasa

Dk. Mpango kuapishwa kesho Ikulu-Dodoma

  DAKTARI Philip Isdor Mpango, kesho Jumatano tarehe 31 Machi 2021, saa 9:00 alasiri, ataapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

Habari za Siasa

Wabunge wamchambua Dk. Mpango, wampongeza Rais Samia

  WABUNGE wa Tanania wamemchambua Dk. Philip Mpango (63), kuwa ni mtu sahihi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....

Habari za Siasa

Alichokisema Dk. Mpango baada ya kupendekezwa kuwa makamu wa Rais

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania mteule, Dk. Phillip Mpango, ameahidi kulitoa Taifa katika uchumi wa kati hadi uchumi wa juu katika kipindi...

Habari za Siasa

Bosi Bandari mikononi mwa Takukuru

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanania, inamshikilia aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Tanzania (TPA), Desdedit Kakoko, kwa uchunguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampendekeza Dk. Mpango kuwa makamu wa Rais

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Jina hilo,...

Habari za Siasa

UVCCM wawaangukia Watanzania, wataka yaishe

  UMOJA wa Vijana wa Chama tawala Tanzania (UVCCM), umewaomba radhi Watanzania kwa kauli na matendo waliyotoa katika utawala uliopita wa Hayati John...

Habari za Siasa

Rais Samia amuibua Lissu

  HATUA ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko, ili...

Habari za Siasa

Maagizo ya JPM yamweka matatani Jafo, Rais Samia amtahadharisha

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo kusema kama ameshindwa kudhibiti upotevu wa fedha kwenye wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kupokea ripoti za CAG, Takukuru

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumapili tarehe 28 Machi 2021, atapokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

Habari za Siasa

NEC: Uchaguzi jimbo la Muhambwe Mei 2

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma ambao utafanyika tarehe 2 Mei...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Janeth Magufuli, ameonesha njia Ikulu

  JANETH, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejiandikia historia yake. Haiba yake, haifanani na watangulizi wake, katika nafasi hiyo,...

Habari za Siasa

Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”

  WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali...

Habari za Siasa

Mdee, Matiko walivyomzungumzia Hayati Magufuli

  WABUNGE viti maalumu, Halima Mdee na Esther Matiko wamemchambua aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. John Magufuli (61), wakisema alikuwa kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Jenerali Mabeyo amhakikishia utii Rais Samia, kuitwa Amri Jeshi Mkuu

  VYOMBO vya ulinzi na usalama nchini Tanzania, vimemhakikishia ulinzi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai amkaribisha Rais Samia bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemkaribisha bungeni, Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato…(endelea). Spika Ndugai...

Habari za Siasa

Wazee Chato wamtwisha mzigo Rais Samia

  WAZEE wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wamemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutekeleza ahadi waliyoahidiwa na Dk. John Pombe...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa Hayati Magufuli kuzikwa leo, Rais Samia atoa shukrani

  WAKATI mwili wa Hayati John Pombe Joseph Magufuli, ukizikwa leo Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, nyumbani kwao, Chato mkoani Geita, Rais wa...

Habari za Siasa

Zitto akumbushia sakata la Nape, yeye amjibu

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameliibua upya sakata la aliyekuwa waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye, kunyooshewa...

Habari za SiasaTangulizi

Z’bar wamtaka Rais Mwinyi aongoze kama Magufuli

  MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema, vijana wengi visiwani humo, wanataka Serikali ya Rais Hussein Mwinyi, iongoze...

Habari za Siasa

Zitto atoa sharti kumuunga mkono Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, yuko tayari kumuunga mkono Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, endapo serikali yake itahakikisha...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili Magufuli wawasili Z’bar, Uwanja wa Aman wafurika

  WANANCHI wa Zanzibar, wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, aliyefariki dunia tarehe 17 Machi...

Habari za Siasa

CCM yamkingia kifua Rais Samia

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewatoa wasiwasi wanachama wake kwa ujumla kikisema mambo yatakwenda kama yalivyopangwa chini ya Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atuma salamu kwa wanaombeza

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wale wote wenye shaka ya uongozi wake kutokana na jinsia yake ya mwanamke, kukaa mguu...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Magufuli aacha watoto 7, siri jina la Pombe…

  ALIYEKUWA Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Joseph Magufuli (61), hadi mauti yanamfika saa 12:00 jioni ya Jumatano tarehe 17 Machi 2021,...

Habari za SiasaTangulizi

Utaratibu kumuaga Dk. Magufuli wabadilishwa

  UMATI mkubwa wa waombolezaji wanaofika kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, umeifanya Serikali kutangaza utaratibu mpya wa kumuaga. Anaripoti Regina...

error: Content is protected !!