MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, amewataka Watanzania wasiwe na hofu juu ya uongozi wa Rais...
By Mwandishi WetuApril 3, 2021CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu tarehe 15 Aprili 2021, wa kuwapata viongozi mbalimbali wa chama hicho, ikiwemo nafasi ya urais....
By Mwandishi WetuApril 2, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watazania waendeleze utamaduni wao uliodumu kwa muda mrefu wa kushikamana, kupendana na kushirikiana ili kuhakikisha...
By Mwandishi WetuApril 2, 2021CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetangaza kutoshiriki Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa maelezo kwamba dosari zilizojitokeza katika mchakato wa Uchaguzi...
By Hamisi MgutaApril 2, 2021CHAMA cha siasa cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimesema kinakwenda kushiriki na kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa Muhambwe, mkoani Kigoma utakaofanyika tarehe 2...
By Hamisi MgutaApril 2, 2021MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, kuongeza mapato ya nchi kutoka...
By Regina MkondeApril 1, 2021KATIBU Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Hussein Athuman Kattanga, amesema, taarifa za uteuzi wa nafasi hiyo, alizipata akiwa Uwanja wa Ndege wa...
By Mwandishi WetuApril 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, atafanya mabadiliko ya makatibu wakuu wa wizara mbalimbali hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa onyo kwa wanasiasa walioanza kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 akisema “kila...
By Mwandishi WetuApril 1, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa madai hautakuwa huru na haki. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 1, 2021LICHA Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko mara kadhaa tangu mwaka 2015, mawaziri watatu na naibu waziri mmoja bado hawajaguswa. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 1, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewaapisha wabunge watatu akiwemo Dk. Bashiru Ally. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Walioapishwa ni;...
By Mwandishi WetuApril 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri, kwa kuteua mawaziri na manaibu waziri wapya. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaMarch 31, 2021MAKAMU mpya wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuahidi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kuwa katika utekelezaji wa majukumu...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2021DAKTARI Bashiru Ally, aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, amehudumu nafasi hiyo nyeti ndani ya Ikulu ya Tanzania kwa siku 32. Anaripoti Matrida Peter,...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amemwapisha Dk. Philip Isdor Mpango, kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2021MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, ameishauri Serikali ya Tanzania, ifanyie marekebisho sera ya elimu bila...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2021MKUTANO mkuu maalum wa chama tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), utafanyika tarehe 30 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuMarch 31, 2021WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamegawanyika juu ya mchakato wa Katiba mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Walikuwa wakichangia...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wanne. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Uteuzi huo, ameufanya...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021MBUNGE Viti Maalumu asiye na chama bungeni, Agnesta Lambart, amehoji lini Serikali itapeleka majisafi na salama katika Wilaya ya Butiama mkoani Mara,...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021DAKTARI Phillip Isdor Mpango, mtaalamu wa masuala ya uchumi aliyependekezwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania na Rais Samia Suluhu Hassan, alizaliwa...
By Pendo OmaryMarch 30, 2021MAKAMU wa Rais mteule wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, ameahidi kuiendeleza miradi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ili...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameitaarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuwa Jimbo la Buhigwe, mkoani Kigoma liko wazi...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021DAKTARI Philip Isdor Mpango, kesho Jumatano tarehe 31 Machi 2021, saa 9:00 alasiri, ataapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021WABUNGE wa Tanania wamemchambua Dk. Philip Mpango (63), kuwa ni mtu sahihi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
By Hamisi MgutaMarch 30, 2021MAKAMU wa Rais wa Tanzania mteule, Dk. Phillip Mpango, ameahidi kulitoa Taifa katika uchumi wa kati hadi uchumi wa juu katika kipindi...
By Regina MkondeMarch 30, 2021TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanania, inamshikilia aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Tanzania (TPA), Desdedit Kakoko, kwa uchunguzi...
By Regina MkondeMarch 30, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Jina hilo,...
By Mwandishi WetuMarch 30, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama tawala Tanzania (UVCCM), umewaomba radhi Watanzania kwa kauli na matendo waliyotoa katika utawala uliopita wa Hayati John...
By Masalu ErastoMarch 29, 2021HATUA ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko, ili...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo kusema kama ameshindwa kudhibiti upotevu wa fedha kwenye wizara...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumapili tarehe 28 Machi 2021, atapokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
By Mwandishi WetuMarch 28, 2021TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma ambao utafanyika tarehe 2 Mei...
By Kelvin MwaipunguMarch 27, 2021JANETH, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejiandikia historia yake. Haiba yake, haifanani na watangulizi wake, katika nafasi hiyo,...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2021WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2021WABUNGE viti maalumu, Halima Mdee na Esther Matiko wamemchambua aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. John Magufuli (61), wakisema alikuwa kiongozi wa...
By Mwandishi WetuMarch 27, 2021VYOMBO vya ulinzi na usalama nchini Tanzania, vimemhakikishia ulinzi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 26, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemkaribisha bungeni, Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato…(endelea). Spika Ndugai...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2021WAZEE wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wamemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutekeleza ahadi waliyoahidiwa na Dk. John Pombe...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2021WAKATI mwili wa Hayati John Pombe Joseph Magufuli, ukizikwa leo Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, nyumbani kwao, Chato mkoani Geita, Rais wa...
By Mwandishi WetuMarch 26, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameliibua upya sakata la aliyekuwa waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye, kunyooshewa...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2021MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema, vijana wengi visiwani humo, wanataka Serikali ya Rais Hussein Mwinyi, iongoze...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, yuko tayari kumuunga mkono Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, endapo serikali yake itahakikisha...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2021WANANCHI wa Zanzibar, wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, aliyefariki dunia tarehe 17 Machi...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewatoa wasiwasi wanachama wake kwa ujumla kikisema mambo yatakwenda kama yalivyopangwa chini ya Rais...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wale wote wenye shaka ya uongozi wake kutokana na jinsia yake ya mwanamke, kukaa mguu...
By Regina MkondeMarch 22, 2021ALIYEKUWA Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Joseph Magufuli (61), hadi mauti yanamfika saa 12:00 jioni ya Jumatano tarehe 17 Machi 2021,...
By Masalu ErastoMarch 22, 2021UMATI mkubwa wa waombolezaji wanaofika kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, umeifanya Serikali kutangaza utaratibu mpya wa kumuaga. Anaripoti Regina...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2021