Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”
Habari za Siasa

Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”

Spread the love

 

WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali nchini, wameendelea kutoa salamu za pole na kuuelezea maisha ya kiongozi huyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

MwanaHALISI TV imezungumza na mwenyekiti wa chama cha NCCR- Mageuzi na mbunge wa zamani wa Vunjo, James Fancis Mbatia.

Katika mazungumzo hayo, Mbatia amegusia mahusiano yake binafsi, kikazi na Dk. Magufuli aliyefariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021, Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam.

Miongoni mwa aliyogusia Mbatia ni kufahamiana na Dk. Magufuli kwa nusu ya umri wake wa miaka 61, tangu wakiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Fuatilia mahojiano hayo:-

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!