Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”
Habari za Siasa

Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”

Spread the love

 

WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali nchini, wameendelea kutoa salamu za pole na kuuelezea maisha ya kiongozi huyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

MwanaHALISI TV imezungumza na mwenyekiti wa chama cha NCCR- Mageuzi na mbunge wa zamani wa Vunjo, James Fancis Mbatia.

Katika mazungumzo hayo, Mbatia amegusia mahusiano yake binafsi, kikazi na Dk. Magufuli aliyefariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021, Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam.

Miongoni mwa aliyogusia Mbatia ni kufahamiana na Dk. Magufuli kwa nusu ya umri wake wa miaka 61, tangu wakiwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Fuatilia mahojiano hayo:-

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!