Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Flaviana Charles, mwanamke pekee anayegombea urais TLS
Habari za Siasa

Flaviana Charles, mwanamke pekee anayegombea urais TLS

Spread the love

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu tarehe 15 Aprili 2021, wa kuwapata viongozi mbalimbali wa chama hicho, ikiwemo nafasi ya urais. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Nafasi ya urais, wamepitishwa wagombea watano ambao ni; Shehzada Walli, Albert Msando, Francis Stolla, Dk. Edward Hoseah na Flaviana Charles ambaye ni mwanamke pekee.

MwanaHALISI TV limefanya mahojiano maalum na Flaviana ambaye kwa zaidi ya miaka 15, amekuwa mwanachama wa TLS lakini, akijihusisha na masuala ya utetezi wa haki za binadamu.

Flaviana, ameweka wazi mikakati yake ikiwemo jinsi ya kuwalinda wanasheria hao, kukibadili kiuchumi, kuwasaidia mawakili wanaoanza kazi lakini kilichomsukuma kugombea nafasi hiyo.

Kesi aliyoisimamia ya Watanzania sita walioshitakiwa kwa uhaini nchini Malawi.

Fuatilia mahojiano yake na MwanaHALISI TV

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!