Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Mama Samia kuapishwa leo
Habari za Siasa

Mama Samia kuapishwa leo

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

LEO Ijumaa saa 4:00 asubuhi, tarehe 19 Machi 2021, Ikulu ya Dar es Salaam, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ataapishwa kuwa Rais wa sita wa Tanzania katika awamu ya tano. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea).

Mama Samia anaapishwa kuhitimisha awamu ya tano ya uongozi wa miaka minne na ushehe iliyosalia, baada ya Rais John Pombe Magufuli (61), kufariki dunia.

Rais Magufuli alifariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021 katika Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu ya mfumo wa umeme wa moyo.

Mama Samia, mwenye umri wa miaka 61, anatarajiwa mara baada ya kumaliza kuapishwa, kutangaza ratiba ya mazishi ya Rais Magufuli ambaye atazikwa nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!