Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mama Samia kuapishwa leo
Habari za Siasa

Mama Samia kuapishwa leo

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

LEO Ijumaa saa 4:00 asubuhi, tarehe 19 Machi 2021, Ikulu ya Dar es Salaam, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ataapishwa kuwa Rais wa sita wa Tanzania katika awamu ya tano. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea).

Mama Samia anaapishwa kuhitimisha awamu ya tano ya uongozi wa miaka minne na ushehe iliyosalia, baada ya Rais John Pombe Magufuli (61), kufariki dunia.

Rais Magufuli alifariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021 katika Hospitali ya Mzena, Makumbusho mkoani Dar es Salaam, alipokuwa akipatiwa matibabu ya mfumo wa umeme wa moyo.

Mama Samia, mwenye umri wa miaka 61, anatarajiwa mara baada ya kumaliza kuapishwa, kutangaza ratiba ya mazishi ya Rais Magufuli ambaye atazikwa nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!