Thursday , 30 March 2023
Habari za SiasaTangulizi

Mrema: Mimi ni mzima

John Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema
Spread the love

 

MKURUGENZI wa Itifaki na Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania John Mrema amesema, “mimi ni mzima wa afya.” Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Mrema ametoa kauli hiyo leo Jumatano tarehe 10 Machi 2021, alipokuwa akizungumza na MwanaHALISI Online, baada ya kusambaa kwa taarifa kwamba amefariki dunia.

Katika mazungumzo yake, Mrema amesema “mimi ni mzima wa afya, naendelea na majukumu yangu na hizo taarifa kuwa nimefariki sijui wanazitoa wapi.”

“Nipo nyumbani naendelea na kujikinga na corona,” amesema Mrema huku akitoa tahadhari kwa wananchi kujikinga na ugonjwa huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!