Thursday , 2 May 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

Habari

Safari ya Chato kuwa mkoa yaanza

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, ameitaka mamlaka ya Serikali Wilaya ya Chato mkoa wa Geita, kukamilisha haraka mchakato wa kuifanya Chato...

Habari

Majaliwa: Madaktari endeleeni kumhudumia Mama yake Magufuli

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, madaktari wanaomhudumia Suzana, mama mzazi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, wataendelea...

Habari

Mazishi ya Magufuli: Dk. Shein akumbusha machungu uchaguzi mkuu 2015

  RAIS Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli (61), alikuwa...

HabariTangulizi

Dk. Hoseah ajitosa urais TLS

  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania urais...

HabariTangulizi

Mwili wa Magufuli wapokea kishujaa Mwanza

  NYUMBANI ni nyumbani. Hivi ndivyo unaweza kuelezea, jinsi wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wameupokea kishujaa mwili wa Dk. John...

Habari

Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa

SAFARI ya miaka 10 ya ndoa ya Suzana Ndaga Mtuwa na Denis Mtuwa iliyofungwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Kimara jijini...

HabariTangulizi

Marais tisa wamuaga Dk. Magufuli

  MARAIS tisa katika nchi za Bara la Afrika, wameshiriki shughuli ya kitaifa ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe...

Habari

Rais Ramaphosa ataja siri Magufuli kutosafiri nje

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema, aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, alimwambia hapendi kusafiri nje ya nchi, kwa...

Habari

Maneno ya mwisho ya Magufuli kwa Rais Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani, amesema siku chache kabla ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Hayati John Pombe Magufuli kufariki dunia,...

HabariTangulizi

Kifo cha Magufuli: Spika Ndugai amwangukia Mama Samia

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani, kukamilisha ndoto za aliyekuwa rais wa taifa hilo, Hayati John...

HabariTangulizi

Hali ilivyo St. Peter kwenye Ibada ya Dk. Magufuli

  VIKOSI vya usalama vimeimarisha ulinzi kila mahali, waombolezaji na watu mbalimbali wanaingia kwa kutumia mlango mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Kila anayeingia eneo...

Habari

Kifo cha Magufuli: Jaji Warioba, Butiku waeleza ya moyoni

  WANASIASA wakongwe nchini Tanzania, Mzee Joseph Butiku na Jaji Mstaafu Joseph Warioba, wamesema watamkumba aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli kutokana...

Habari

Kifo cha Magufuli: Chato waomba wasitelekezwe

  MWENYEKITI wa Baraza la Wazee Wilaya ya Chato mkoani Geita, Samuel Magambo, amewaomba viongozi waliobaki madarakani kutowatenga pia, kutotelekeza wilaya hiyo, badala...

Habari

Rais Samia amfariji mjane wa Magufuli

  RAIS wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, amekwenda kuifariji familia ya aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Dk. John Pombe Magufuli, jijini Dar...

Habari

Sherehe Dar zapigwa ‘stop’ siku 21

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Aboubakar Kunenge amepiga marufuku kufanyika kwa sherehe yoyote ile ndani ya mkoa huo kwa...

HabariTangulizi

Rais Samia: Tuzike tofauti zetu

  RAIS wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassani, amewataka Watanzania kuzika tofauti zao na kwamba, sasa ni wakati wa kujiamini kama Taifa. Anaripoti...

HabariTangulizi

Ratiba mazishi Dk Magufuli hii hapa, siku 2 za mapumziko

  RATIBA yamazishi ya Dk. John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeelekeza kiongozi huyo atazikwa tarehe 24 Machi...

HabariTangulizi

Huyu ndiye Mama Samia, Rais wa kwanza mwanamke Tanzania

  MAMA Samia Suluhu Hassan, ameapishwa kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ikulu, jijini Dar es Salaam. Anaandika Regina...

Habari

Dunia yamlilia Dk. Magufuli

  VIONGOZI wa kimataifa wameungana na Watanzania kuomboleza kifo cha Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam…(endelea). Rais Magufuli...

HabariTangulizi

Spika Ndugai asitisha ziara Kamatiza Bunge

  KUFUATIA kifo cha Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021 katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam,...

HabariTangulizi

Wenye viwanda Tanzania, NEMC wapewa maagizo

  SERIKALI ya Tanzania, amewaagiza wenye viwanda nchini humo, kuajiri wataalamu wa mazingira ili kukidhi matakwa ya kisheria. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Agizo hilo,...

Habari

Bajeti mlengo wa kijinsia yapigiwa chapuo

  SERIKALI na jamii wametakiwa kuhakikisha wanatenga bajeti yenye mlengo wa kijinsia, ili kutokomeza ukatili wa kijinsia. Anaandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari

Wafahamu viongozi waliopata chanjo ya Corona

VIONGOZI kadhaa ulimwenguni, wamechanjwa kwa ajili ya kujikinga na virusi hatari vya corona (Covid 19). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Miongoni mwa wanaotajwa kuwa tayari...

Habari

Mama Samia ahimiza wanawake kujitosa uongozini

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassani, amewataka wanawake nchini humo, kujitosa kwenye nafasi za uongozi kwenye sekta binafsi, ili...

HabariTangulizi

La Chaaz yateketea

  BAA maarufu ya La Chaaz, iliyoko Sinza Mori, mkoani Dar es Salaam imeteketea kwa moto leo Ijumaa, tarehe 5 Machi 2021. Anaripoti...

Habari

Pikipiki 16 zakamtwa Dar, 10 mbaroni

WATU 10 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa pikipiki. Anaripoti Mwandishi...

Habari

Magufuli aomba wimbo wa Prof Jay, acheza

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameonesha kufurahishwa na wimbo ya Joseph Haule maarufu Profesa Jay, na kutaka upigwe ili asikilize na kutazama....

Habari

Mwili wa Profesa Ndulu kuzikwa Dar leo

  MWILI wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), unazikwa leo Alhamisi tarehe 25 Februari 2021, katika...

HabariTangulizi

Prof. Ndulu, gavana atakayekumbukwa kwa mengi

  ALIYEKUWA Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. Benno Ndullu (71), amefariki dunia. Prof. Ndullu, alizaliwa tarehe 23 Januari 1950. Anaripoti...

Habari

Mama Samia atoa wito uibuaaji fursa

  WAWEKEZAJI na wafanyabiashara nchini wameshauri wa kuibua fursa zinazofungamana na sekta ya madini ili ajili kukuza uchumi wa Taifa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari

Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya

  BASTOLA ya Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM) iliyoibwa tarehe 15 Februari 2021, katika eneo la Kawe Beach, jijini Dar es Salaam,...

Habari

Hospitali ya Aga Khan matatani, Polisi waichunguza

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linaichunguza Hospitali ya Aga Khani, jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma...

Habari

Mwili wa Balozi Kijazi waagwa Dodoma, kuzikwa J’mosi Tanga

  MWILI wa Katibu Mkuu Kiongozi nchini Tanzania, Balozi John Kijazi, umeagwa leo Alhamis tarehe 18 Februari 2021, katika Hospitali ya Benjami Mkapa,...

Habari

Tufanye toba – Maaskofu TEC

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limewataka waumini wake kufanya toba ya kweli ili kubadili mioyo mibovu. Anaripoti Ragina Mkonde, Dar es...

Habari

Kifo cha Maalim Seif: Magufuli atangaza siku 3 za maombolezo

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza siku tatu za maombolezo ya Kitaifa kuanzia leo Jumatano tarehe 17 Februari 2021, ambapo bendera zote zitapepea...

HabariTangulizi

BREAKING NEWS: Maalim Seif afariki dunia

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad (77), Makamu wa Kwanza wa Rais, Zanzibar, kilichotolea leo Jumatano...

HabariTangulizi

Waziri Aweso awafyeka vigogo wa maji

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatujasema hatuna corona

  SERIKALI ya Tanzania imeeleza, haijawahi kusema haina maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Regina Mkonde …(endelea). “Hatujawahi kusema, hatuna virusi vya...

Habari

Majaliwa azungumzia nyongeza ya mishahara

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma, wasikate tamaa kwa vile mishahara mipya haijatangazwa na badala yake amewasihi waendelee...

Habari

Magufuli ashauri jeshi kukamata mawaziri

  JESHI la Magereza nchini Tanzania, limeshauriwa kukamata mawaziri ama makatibu wakuu kwenye taasisi zilizoshindwa kulipa maeni yao. Anaripoti Regina Mkonde, …(endelea). Kauli...

Habari

Mbunge alilia walimu wa kike shule Birise, Donsee

  KUNTI Majala, Mbunge Viti Maalumu mkoani Dodoma, ameiomba serikali kupeleka walimu wa kike katika Shule za Msingi Birise na Donsee, zilizoko mkoani...

Habari

Watumishi wavunja agizo la Magufuli, wasakwa

  WATUMISHI waliogoma kuhamia kwenye maeneo ya halmashauri zao, wamevunja agizo la Rais John Magufuli hivyo, wasakwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Waziri...

HabariTangulizi

Maalim Seif afikisha siku ya tisa hospitalini

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, bado anaendelea kupata matibabu katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja, Visiwani Unguja....

Habari

Dk. Kimei afikisha bungeni kilio waongoza watalii

  MBUNGE wa Vunjo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Charles Kimei, amefikisha bungeni kilio cha waongoza watalii katika Mlima Kilimanjaro, kuhusu kutolipwa...

HabariTangulizi

Katibu Tawala Arusha afariki ajalini

  KATIBU Tawala Mkoa wa Arusha (RAS), Richard Kwitega, amefariki dunia leo Jumatano saa 9:30 alasiri, tarehe 3 Februari 2021, katika ajali ya...

Habari

Mbunge ahoji mashamba kutaifishwa, Lukuvi amjibu

  MBUNGE Viti Maalumu Mkoa wa Arusha, Cecilia Pareso, amehoji Serikali itataifisha lini mashamba ya wawekezaji yasiyoendelezwa, ili yakabidhiwe kwa wananchi kwa ajili...

Habari

Serikali yasema, ugumu wa maisha unasababisha maradhi ya akili

  WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema, magonjwa mengi ya akili, yanatokana na ugumu wa...

Habari

Magufuli aweka kigingi wakwepa kodi kupitia mahakama

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza wasajili wa Mahakama ya Rufaa, kutosajili kesi za rufani zenye lengo la kuchelewesha utekelezwaji wa uamuzi...

Habari

Rais Mwinyi ‘afagia’ wahasibu 80 Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amewaondoka kazini zaidi ya wahasibu 80 kwa tuhuma za kuchezea rafu mifumo ya ukusanyaji wa mapato. Anaripoti Mwandishi...

Habari

Rais Mwinyi: Asiyekuwemo, hatoingizwa

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, katika hatua anazochukua kuondoa ‘uchafu’ katika Serikali yake, ‘asiyekuwemo hatoingizwa.’ Anaandika Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea). Akizungumza wakati wa...

error: Content is protected !!