Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa
Habari

Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa

Denis Mtuwa, mume wa marehemu Suzana Mtuwa
Spread the love

SAFARI ya miaka 10 ya ndoa ya Suzana Ndaga Mtuwa na Denis Mtuwa iliyofungwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Kimara jijini Dar es Salaam, imehitimishwa Jumapili tarehe 21 Machi 2021. Anandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Ni baada ya Suzana, watoto wake wawili wa kuwazaa na wawili wa shemeji zake kukanyagwa na kufariki dunia wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru, mkoani Dar es Salaam.

Wanafamilia hao walitoka alfajiri ya saa 11 na kuanza safari ya kwenda kumuaga Dk. Magufuli, lakini hawakurejea tena nyumbani.

Gerard Mtuwa ambaye ni kaka wa Denis anasimulia mkasa ulivyokua, fuatana na MwanaHalisi TV katika simulizi hii ya kusikitisha..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Habari

Tanzania yaungana na nchi 180 kushiriki maonesho ya utalii Ujerumani

Spread the love  TANZANIA imeungana na mataifa 180 duniani kushiriki maonesho makubwa...

error: Content is protected !!