Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa
Habari

Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa

Denis Mtuwa, mume wa marehemu Suzana Mtuwa
Spread the love

SAFARI ya miaka 10 ya ndoa ya Suzana Ndaga Mtuwa na Denis Mtuwa iliyofungwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Kimara jijini Dar es Salaam, imehitimishwa Jumapili tarehe 21 Machi 2021. Anandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Ni baada ya Suzana, watoto wake wawili wa kuwazaa na wawili wa shemeji zake kukanyagwa na kufariki dunia wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru, mkoani Dar es Salaam.

Wanafamilia hao walitoka alfajiri ya saa 11 na kuanza safari ya kwenda kumuaga Dk. Magufuli, lakini hawakurejea tena nyumbani.

Gerard Mtuwa ambaye ni kaka wa Denis anasimulia mkasa ulivyokua, fuatana na MwanaHalisi TV katika simulizi hii ya kusikitisha..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!