Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Majaliwa: Madaktari endeleeni kumhudumia Mama yake Magufuli
Habari

Majaliwa: Madaktari endeleeni kumhudumia Mama yake Magufuli

Spread the love

 

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, madaktari wanaomhudumia Suzana, mama mzazi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, wataendelea na jukumu hilo hadi mwisho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato…(endelea)

Majaliwa amesema, mama mzazi wa Hayati Magufuli, amekuwa mgonjwa kwa zaidi ya miaka miwili na Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo aendelee kuhudumiwa.

“Mama mzazi wa mpendwa wetu Dk. John Pombe Magufuli, yuko kitandani kwa zaidi ya miaka na maagizo yako mheshimiwa Rais, tunawataka madaktari kuendelea kumhudumia hadi atakaporudi kwenye uimara wa afya yake,” amesema Majaliwa

Dk. Magufuli alifariki dunia Jumatano ya tarehe 17 Machi 2021, katika Hospitali ya Mzena, Dar es Salaam na unazikwa leo Ijumaa 26 Machi 2021, nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

Spread the love  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na...

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

error: Content is protected !!