Friday , 19 April 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

Habari

Kakoko tena TPA, Takukuru…

  MADAI mapya ya ufisadi yaliyoibuliwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), hayawezi kumwacha salama,...

Habari

Mgombea urais aahidi kutoa mkopo kwa wanandoa wapya

  Mgombea urais nchini Kenya ameahidi mikopo ya kati ya Dola za Marekani 4,400 (Sh milioni 10.1) na 8,800 (Sh milioni 20.20) kwa...

Habari

Wakazi Ukerewe, Mbinga waibuka washindi NMB Bonge la Mpango

  DROO ya nane ya Kampeni ya ‘NMB Bonge la Mpango – 2merudi Tena,’ imefanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha, ambako Theofrida Masudi...

Habari

Mkurugenzi wa zamani wa gereza Rwanda afungwa kwa wizi

  Mahakama ya Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkurugenzi wa gereza kuu la Kigali, Innocent Kayumba kwa kosa la kuiba...

Habari

DC Gondwe awafunda wanawake wajasiriamali

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni (DC), jijini Dar es Salaam, Godwin Gondwe amewataka wanawake wajasiriamali, kusimamia malengo yao, kuboresha bidhaa wanazozalisha na...

Habari

Wanahabari Arusha wapata chanjo ya Uviko-19 , wapewa ujumbe

  WAANDISHI wa habari na watangazaji wamepata chanjo ya ugonjwa wa maambukizi ya korona (UVIKO-19), huku wakitakiwa kujali afya zao kwanza katika utendaji...

Habari

Kiwanda cha transfoma, nyaya kuzalisha ajira 1,000

  Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Ltd kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Mhandisi Ibrahim Qamar amesema katika awamu ya...

Habari

Rais Samia awapa kibarua watendaji wake “muwaoneshe tumebadilika”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza watendaji wake wawaoneshe wawekezaji kuwa nchi imebadilika, kwa kuwa imeboresha mazingira ya uwekezaji. Anaripoti Regina...

Habari

Rais Samia: Kuna mambo sitayatimiza kwa kukaa ‘Ikulu’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna mambo yaliyoanishwa katika Ilani ya Uchaguzi wa 2020 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hataweza...

HabariTangulizi

Mgogoro mwingine waibuka KKKT

  MGOGORO mwingine umelikumba Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), baada ya wachungaji watatu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kumtuhumu Askofu wao,...

HabariTangulizi

‘Rais Samia azungukwa,’ urais 2025 watajwa

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwa kuna makundi ndani ya Serikali yanaendekeza ubadhirifu na kuishutumu Serikali yake, imeibua wadau...

HabariHabari za Siasa

Baraza Vyama vya Siasa: Tanzania ina katiba nzuri, bunge huru

  BARAZA la Vyama vya Siasa, limezungumzia miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, likisema nchi ina Katiba nzuri, pamoja na mihimili iliyo...

Habari

Upigaji wa kutisha ujenzi wa meli 5, mkandarasi ni dalali

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameanika ubadhirifu wa kutisha katika mikataba ya ujenzi wa meli tano za Kampuni za kuhudumia Meli Tanzania (MSCL)...

HabariHabari za Siasa

Rais Samia kuunguruma katika mkutano wa vyama vya siasa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania,...

HabariTangulizi

Rais Samia ateua DC, ahamisha 2

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dadi Horace Kolimba kuwa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Karatu mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi...

HabariTangulizi

Rais Samia: Machinga tuendelee kuvumiliana

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wafanya biashara wadogo wadogo ‘machinga’ kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kwa kuwa kazi ya kuwaondoa barabarani...

Habari

Zaidi ya wawekezaji 140 wa Italia wawekeza Tanzania

  Wawekezaji zaidi ya 140 kutoka Italia wamewekeza katika miradi mbalimbali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Takwimu hizo zimetolewa na Naibu Waziri Wizara...

Habari

Rais Samia aonya wawekezaji kuzungushwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wasaidizi wake, kutowabudhudhi wawekezaji hususan wazawa kwani kufanya hivyo kunachelewesha fursa za ajira....

Habari

Majaliwa: Hatua kali zichukuliwe wanaowanyanyapaa wanoishi na VVU

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza mamlaka husika kuchukua hatua kali za kisheria kwa watakaobainika kuwanyanyapaa na kuwabagua Watu Wanaoishi na Virusi vya...

Habari

Prof Mkumbo awatangazia neema wanafunzi DIT, awapa somo

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, kila mwaka kuanzia 2022, wizara hiyo itakuwa ikitoa zawadi kwa wanafunzi...

Habari

Wakulima watakiwa kuchangamkia Kampeni ya ‘Vuna Zaidi Na NBC Shambani’

  Serikali mkoani Mtwara imesema ipo tayari kuonesha ushirikiano zaidi na taasisi pamoja na wadau mbalimbali wenye nia thabiti na mipango inayolenga kuwasaidia...

HabariTangulizi

TEF yawasilisha serikalini maboresho sheria za habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria mbalimbali zinazogusa tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari

Waziri Mkuu Ethiopia atangaza hali ya hatari

  WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametangaza hali ya hatari katika maeneo yote ya nchi hiyo baada ya waasi wanaopambana na wanajeshi...

HabariTangulizi

Shahidi augua, kesi ya Mbowe yaahirishwa

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

HabariMichezoTangulizi

Simba yamtimua Gomes, Hitimana arithi mikoba yake

  KLABU ya Soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imevunja mkataba na aliyekuwa kocha wake Mkuu, Didier Gomes Da Rosa, mara...

Habari

Kesi ya Mbowe: RPC Kingai asoma maelezo jinsi ugaidi ulivyopangwa

  KIELEZO cha kwanza cha ushahidi wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha...

Habari

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Joseph Kazilwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Serikali za Mitaa Homboro. Anaripoti Mwandishi...

Habari

Mbunge amwangukia Rais Samia kina mama kujifungulia njiani

  MBUNGE wa Arumeru Magharibi wa chama tawala nchini Tanzania-CCM, Lembris Noah, amemuomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi ya...

Habari

Sabaya, wenzake kurejea tena mahakama kesho

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya ambaye amehukumiwa miaka 30 gerezani, kesho Jumatatu tarehe 18...

HabariMichezo

Stars yakaa kileleni kundi J

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imerejea tena kwenye usukani wa kundi J, katika harakati za kutafuta tiketi za kufuvu fainali za...

Habari

‘Mnasema Rais ni mweupe! dokoa pesa muone rangi halisi’ – Rais Samia

  RAIS Samia amewaonya viongozi, watumishi na wazabuni watakaosimamia miradi itakayotekelezwa kwa kutumia fedha zilizotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa Tanzania,...

Habari

Rais Samia: Dk. Mwigulu uwe mwepesi

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuthibiti urasimu wa kupata msamaha wa kodi kwa vifaa...

Habari

‘Tuende na single source’

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) kutumia utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ badala...

Habari

Rais Samia: Trilioni 1.3 zibaki, kilio wakandarasa sasa basi

RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza watekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa shule na maji nchini, kuwatumia wakandarasi wa ndani kwa kuwa miaka...

Habari

Rais Samia aomba sekta binafsi kumuunga mkono matumizi ya fedha za IMF

Rais SAMIA Suluhu Hassan ameomba sekta binafsi kumuunga mkono kwa kuchangamkia fursa zinazotokana na fedha zilizotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) zitakazotumika...

Habari

Mahakama kuu yaagiza wadeni watatu wa Exim kukamatwa kwa kushindwa kulipa deni la Sh milioni 674

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania (Idara ya Biashara) jijini Dar es Salaam imeagiza kukamatwa kwa wadeni watatu wa benki ya Exim Tanzania kwa kushindwa...

Habari

Majaliwa aendelea kung’ata watumishi, amsimamisha mwingine

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Omary Chingwile ili kupisha uchunguzi wa...

Habari

Watanzania 6 kuchuana taji la Miss Dunia 2022

  Tanzania imepata nafasi ya kupeleka washiriki sita kwenye Fainali za Urembo, Mitindo na Utanashati kwa viziwi ya ngazi ya dunia yatakayofanyika Aprili...

HabariTangulizi

Mawaziri nane kuvamia vijijini 975

  JUMLA ya Mawaziri nane wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatarajia kuanza ziara ya siku 15 katika vijiji 975 kwa...

Habari

Maelfu waandamana kupigania utoaji mimba

  Maelfu ya wanawake nchini Marekani wameandamana katika zaidi ya miji 600 nchi hiyo kupinga kampeni ya kuzuia uavyaji (utoaji) mimba. Anaripoti Mwandishi...

HabariTangulizi

Othman ala kiapo kutimiza ndoto ya Maalim Seif

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman, amekula kiapo cha kutimiza ndoto ya mrithi wake, Maalim Seif Shariff Hamad ya...

HabariTangulizi

Rais Samia aonya migogoro Kanisa Anglikana

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa dini wa Kanisa la Anglikana Tanzania kurudi kwenye misingi ya kimaadili ya kanisa...

Habari

Jaji mstaafu Othuman Chande apewa shavu ICC

ALIYEKUWA Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande, ameteuliwa na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, inayojihusisha na uhalifu dhidi ya...

Habari

Mwili wa Mugabe waibua vita mpya, familia yapata pigo

  MWILI wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, aliyefariki dunia tarehe 6 Septemba, 2019 umeamriwa na mahakama nchini humo ufukuliwe na kuzikwa upya...

Habari

Wafungwa 4 kati ya sita waliotoroka gerezani wakamatwa tena

  WAFUNGWA wanne kati ya sita raia wa Kipalestina waliotoroka kutoka jela yenye ulinzi mkali mapema wiki hii huko nchini Israel wamekamatwa. Anaripoti...

Habari

Ujenzi maeneo ya kupumzika waanza Dodoma, Geita

  SERIKALI ya Tanzania, imeanza ujenzi wa maeneo ya burudani kwa ajili ya watu kufanyia michezo na kupumzika katika mikoa ya Dodoma na...

Habari

Serikali ya Tanzania yailipa MSD bilioni 39 kati ya 269

  WIKI chache baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuitaka Serikali ya Tanzania ilipe deni la Bohari ya Dawa...

Habari

Wiki ya uchanjaji yaja, bilioni 83 kujenga kiwanda cha chanjo

  SERIKALI ya Tanzania imesema, wiki ya mwisho wa mwezi Septemba au mwanzo wa Oktoba 2021, itaanzisha wiki ya uchanjaji chanjo ya virusi...

Habari

Bodi ya mazao, NFRA zamwagiwa mabilioni kununua mahindi ya wakulima

  MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imeidhamini Bodi ya Mazao Mchanganyiko kupatiwa mkopo...

Habari

Mbunge ahoji vigezo miradi ya kimkakati, Serikali yamjibu

SERIKALI ya Tanzania imeahidi kuboresha vigezo vilivyowekwa na wizara ya fedha kwenye uchambuzi wa miradi ya kimkakati. Anaripoti Patricia Kighono, TUDARCo…(endelea). Ahadi hiyo...

error: Content is protected !!