Thursday , 2 May 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

Habari

Serikali ya Tanzania kujenga shule 1,000 za sekondari

  SERIKALI ya Tanzania inampango wa kujenga shule 26 za wasichana na shule 1,000 za sekondari kwenye kata zisizo na shule hizo. Anaripoti...

Habari

Ajali mwendokasi Dar zamuibua Majaliwa, akemea

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kutimiza wajibu kwa kufuata sheria za usalama barabarani kukabiliana na ajali za...

Habari

Majaliwa aagiza wizara kuacha ubaguzi ajira za wahitimu JKT

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kuendelea kutangaza ajira katika vyombo mbalimbali vya dola...

HabariTangulizi

RC Dar ashusha rungu kwa machinga

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa biashara maeneo watembea kwa miguu hifadhi ya barabara...

Habari

WLC kumuokoa mfanyabiashara na korona

  KAMPUNI ya Usafirishaji ya World Logistics (WLC), imeanzisha huduma mpya ya kuagiza na kufikishia bidhaa kwa mteja (Corgo Pickup & Delivery Services),...

HabariTangulizi

Rais Samia: Tozo za Sept, Oktoba kujenga madarasa 500

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, tozo zitakazotozwa katika miamala ya simu Septemba na Oktoba 2021, zitakwenda kujenga vyumba vya madarasa...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Ummy: Ma DED njooni na CV, kitambulisho

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi (DED) wapya 69 walioteuliwa kufika...

HabariSiasa

Wazee Hai wamwangukia Rais Samia, waomba Mbowe aachiwe huru

  WAZEE wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, imuache huru Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe,...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Zitto: Buhigwe msitishwe

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Samia aonya uhalifu Dar, ampa maagizo IGP Sirro

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro, akomeshe vitendo vya uhalifu katika Mkoa...

HabariHabari Mchanganyiko

Tunaomba uwakilishi bungeni, matibabu ya afya- Wazee Dar

  WAZEE wa Mkoa wa Dar es Salaam, wameiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ianzishe utaratibu wa kundi hilo kuwa na...

HabariHabari Mchanganyiko

Wazee Dar wamwomba Rais Samia kudumisha utawala bora

  BARAZA la Wazee la Mkoa wa Dar es Salaam, limemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aongeze juhudi katika uimarishwaji misingi ya...

HabariMichezo

Matola awaita mashabiki Uwanjani

KOCHA msaidizi wa Simba Suleiman Matola, awataka washabiki wa simba wajitokeze kwa wingi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani...

HabariMichezo

Kaizer Chiefs dhidi ya Simba kupigwa Mei 15

  MCHEZO war obo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Kaizer Chief dhidi ya Simba rasmi sasa utachezwa...

HabariMichezo

Chama, Gomes washinda tuzo VPL mwezi Aprili

  KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Aprili 2021 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara huku kocha...

HabariMichezo

Jeshi la Polisi latoa masharti matano mchezo Simba na Yanga

  JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limetoa masharti matano kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba...

HabariMichezo

Man United wahamia kwa Harry Kane

  Klabu ya Manchester United ya nchini England ipo tayari kutoa kiasi Euro 90 milioni sawa na shilingi 250.8 bilioni, kwa jili ya...

HabariMichezoTangulizi

Sakata la rushwa Yanga dhidi ya Prisons latua Bungeni

NAIBU waziri wa utumishi na utawala bora Deogratius Ndenjembi amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa timu mbalimbali hapa nchini wakifungwa na Yanga...

HabariMichezo

Mukoko, Feisal, Sarpong kurejea Uwanjani dhidi ya Simba

WACHEZAJI watatu wa klabu ya Yanga, Feisal Salum, Tonombe Mukoko pamoja na Michael Sarpong watarejea Uwanjani kwenye mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi...

HabariHabari za Siasa

Chongolo amrithi Dk. Bashiru CCM, Shaka…

  DANIEL Chongolo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, amethibitishwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

HabariHabari za Siasa

Majaliwa ajitosa ukaguzi mgodi Mirerani

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...

Habari

Mama mzazi wa IGP Sirro afariki dunia

MONICA Nyabyamari, mama mzazi wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi, tarehe 10...

Habari

CAG: Nyaraka za kughushi zilitumika Jeshi la Zimamoto

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema, nyaraka za fedha za kughushi zimetumika katika Jeshi la Zimamoto na...

Habari

CAG: TGFA yatumia Bil. 3 kutengeneza ndege isiyotumika

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amebaini Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), ililipa Sh.3.92 bilioni kugharamia...

HabariTangulizi

CAG: Taasisi 10 zimepata hati mbaya, 81 zenye shaka

  RIPOTI za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa mwaka 2019/20, zimewasilishwa bungeni jijini Dodoma huku taasisi kumi zikipata...

HabariTangulizi

Katiba mpya: Wazazi CCM yaonya wanaompelekesha Rais Samia

  JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewataka wananchi wasimpelekeshe Rais Samia Suluhu Hassan, hasa wale wanaotaka mchakato wa katiba mpya...

Habari

Vita dawa za kulevya: IGP Sirro atoa maagizo

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro, ameagiza makamanda wa jeshi hilo hasa katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Tanga, Dar...

HabariTangulizi

Lissu atuma ujumbe Ikulu

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kufanya mabadilio ya sheria....

HabariTangulizi

Dk. Abbas apinga uamuzi wa Rais Samia

  KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbasi, amepinga maagizo ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ya...

Habari

Uchaguzi TLS: Wagombea urais wamwaga sera zao

  WAGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamechuana vikali katika kueleza sera zao, ili kuwashawishi wapiga kura kuwachagua. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari

Askofu Katoliki afariki dunia, Rais Samia amlilia

  ASKOFU Alfred Maluma wa Jimbo Katoliki la Njombe nchini Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, tarehe 6 Aprili 2021, katika...

HabariTangulizi

Dk. Hoseah aibua sakata la Richmond

  DAKTARI Edward Hoseah amesema, kilichomng’oa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ni kusema ukweli juu ya sakata la mkataba kati...

Habari

Wahariri Tanzania wampongeza Rais Samia, wampa ujumbe Ndugai na Msigwa

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kuagiza vyombo vya habari vyote vilivyofungiwa kufunguliwa. Anaripoti...

Habari

Wanahabari wampongeza Rais Samia

KLABU ya Waandishi wa Habari ya Mkoa wa Mwanza(MPC), imempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuvifungulia vyombo vya habari vilivyoungwa kwa...

Habari

Rais Samia aanzisha salamu mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameanzisha salamu mpya ambayo atakuwa akiitumia katika shughuli mbalimbali. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Samia...

Habari

Mwisho maombolezo ya Hayati Magufuli

  LEO Jumanne, tarehe 6 Aprili 2021, ni siku ya mwisho ya maombolezo ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

HabariTangulizi

Rais Samia: Hivi nina maradhi gani na katiba mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejishangaa jinsi ambavyo amekuwa akilitaja jina la Bunge la Katiba, badala ya Bunge la Bajeti. Anaripoti...

Habari

Spika Ndugai: Mama Samia hatabiriki

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amewataka wateule wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kuchapa kazi kwani kiongozi huyo...

HabariTangulizi

Rais Samia awaapisha viongozi aliowateua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua akiwemo Balozi Hussein Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari

Serikali yatangaza neema makato mikopo ya elimu ya juu

  SERIKALI ya Tanzania, imeahidi kufanyia mapitio kanuni za sheria ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu, ili kuondoa changamoto ya makato...

Habari

Milioni 128 waambukizwa corona duniani

  MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19), duniani yamefikia milioni 128.8, waliopona milioni 103.9 na waliofariki dunia wakiwa milioni 2.8. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

HabariTangulizi

Takukuru tumekuta milioni 8.5 kwa bosi wa bandari

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanania, imesema imepekua nyumbani kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Tanzania (TPA), Desdedit...

HabariTangulizi

Mambo 6 yajayo Bunge la Bajeti

  SAFARI ya siku zaidi ya 90 ya mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaanza kesho Jumanne saa 3:00 asubuhi,...

HabariTangulizi

Toba ya UVCCM yaibua mjadala

  HATUA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kuwaomba radhi Watanzania, imewaibua wanasiasa na wanaharakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

HabariTangulizi

NGO’s zamuahidi Rais Samia mambo 18

  ASASI za Kiraia (AZAKI) na Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s), nchini Tanzania, zimemuahidi mambo 18, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan,...

HabariTangulizi

Kufungiwa akaunti: THRDC wampa neno Rais Samia

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iwape nafasi ya watu kujitetea, mashirikia...

Habari

Chadema kubadili msimamo Jimbo la Muhambwe? Mkosamali…

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitaamua ndani ya saa 48, kuanzia leo Jumatatu, kama kitajitosa katika uchaguzi wa ubunge wa Muhambwe,...

Habari

Asasi za kiraia Tanzania zamwangukia Rais Samia

ASASI za kiraia (AZAKI) nchini Tanzania, zimeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa ajili ya kujadiliana nae masuala mbalimbali ikiwemo ufufuaji wa...

Habari

Mbatia: Ashauri Majaliwa ajiuzulu uwaziri mkuu

  JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais...

Habari

Kikwete akumbusha alivyombeba Magufuli 2015

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameeleza ugumu aliopitia katika kumpitisha Hayati John Pombe Magufuli (61), kuwa mgombea urais wa Chama...

error: Content is protected !!