Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari Milioni 128 waambukizwa corona duniani
Habari

Milioni 128 waambukizwa corona duniani

Spread the love

 

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19), duniani yamefikia milioni 128.8, waliopona milioni 103.9 na waliofariki dunia wakiwa milioni 2.8. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Marekani ni nchi inayoongoza kwa maambukizi duniani ikiwa na maambukizo milioni 31, waliofariki wakiwa 564,138 na waliopona ugonjwa huo wakiwa milioni 23.58

Brazili inashika nafasi ya pili kwa maambukizo milioni 12.66, waliopona wakiwa milioni 11 na waliofariki 317,936.

Nafasi ya tatu inashikwa na India ikiwa na maambukizi milioni 12.1, waliopona milioni 11.4 na waliofariki wakiwa 162.502.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!