Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari Mbatia: Ashauri Majaliwa ajiuzulu uwaziri mkuu
Habari

Mbatia: Ashauri Majaliwa ajiuzulu uwaziri mkuu

James Mbatia, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi
Spread the love

 

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuunda baraza jipya. Anaripoti Kelvin Mwaipungu

Mbatia amesema, hatua hiyo itamsaidia Rais Samia kuunda Serikali yake.

Ni baada ya Samia aliyekuwa makamu wa Rais, kuapishwa tarehe 19 Machi 2021, kuwa Rais, kuchukua nafasi ya Dk. John Pombe Magufuli, kufariki dunia.

Dk. Magufuli, alifariki dunia tarehe 17 Machi 2021 na mwili wake kuzikwa Ijumaa ya 26 Machi 2021.

MwanaHALISI TV, limefanya mahojiano na Mbatia kuhusu mabadiliko hayo ya uongozi na jinsi anavyomfahamu Rais Samia na matarajio yake.

Kufahamu zaidi, fuatilia mahojiano yake.

5 Comments

  • Personally I do not understand Tanzanian politicians at all. Most of them are driven by self instinctics of which I call lack of political marturity. I’ve been following what Mbatia has narrated about Hon. Samia S. Hassan unfortunately I was dissapointed to hear his comments which are full of unnecessary praises as if the late President didn’t listen anybody. His comments are full of misinterpretations and guessing. Mbatia is a legend in Tanzanian politics but according to his analysis, the guy is lost and to me , I recommend him to retire from politics. I would have been glad if the man would give a comments that help the leaders in government to continue inherit the speed and ligacy of our late Hon. JPM. I can conlude that no single time that Tanzanians will witness the handing over the government in the hands of opposition parties. Why? These guys are not martured enough to run the government.

  • Personally I do not understand Tanzanian politicians at all. Most of them are driven by self instinctics of which I call lack of political marturity. I’ve been following what Mbatia has narrated about Hon. Samia S. Hassan unfortunately I was dissapointed to hear his comments which are full of unnecessary praises as if the late President didn’t listen anybody. His comments are full of misinterpretations and guessing. Mbatia is a legend in Tanzanian politics but according to his analysis, the guy is lost and to me , I recommend him to retire from politics. I would have been glad if the man would give a comments that help the leaders in government to continue inherit the speed and legacy of our late Hon. JPM. I can conclude that no single time that Tanzanians will witness the handing over the government in the hands of opposition parties. Why? These guys are not martured enough to run the government.

  • I conquer with Nelly’s sentiments. Their is no locus stand to warrant the Prime minister to vacate office until such a time when the president dissolves the cabinet. For now it is all in the hands of the president. Mbatia’s vision is populist-kujipendekeza
    Samsonite Odera
    Marketing Consultant.

  • I totally agree with Nelly’s comments. In addition to that, it totally insane to go against the most praised president in the world – Hayati Magufuli within a short period of time.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!