Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari Kaizer Chiefs dhidi ya Simba kupigwa Mei 15
HabariMichezo

Kaizer Chiefs dhidi ya Simba kupigwa Mei 15

Spread the love

 

MCHEZO war obo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Kaizer Chief dhidi ya Simba rasmi sasa utachezwa Tarehe 15 Mei, 2021jijini Johanesburg nchini Afrika Kusini. Anaripoti Kelvin Mwaipungu… (endelea)

Mchezo huo wa mzunguko wa kwanza utapigwa majira ya saa 12 jioni kwa saa za Afrika Kusini na saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.

Mara baada ya mchezo huo mechi ya marudiano itapigwa jijini Dar es Salaam siku saba baadae ambapo Simba atakuwa nyumbani kwenye dimba la Benjamin Mkapa majira ya saa 10 jioni.

Simba amefuzu hatua hiyo mara baada ya kumaliza kinara kwenye kundi A, akiwa na pointi 13 huku Kaizer Chief amemaliza katika nafasi ya pili kundi C akiwa na pointi 9.

Kama Simba atafanikiwa kufuka kwenye hatua hiyo na kutinga nusu fainali atakutana na mshindi wa mchezo kato ya Wydad Casablanca  na CR Belouizdad.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!