Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari Mama mzazi wa IGP Sirro afariki dunia
Habari

Mama mzazi wa IGP Sirro afariki dunia

Spread the love

MONICA Nyabyamari, mama mzazi wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi, tarehe 10 Aprili 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime imesema, msiba uko nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki mkoani Dar es Salaam, karibu kwa Hayati Rais Benjamin Mkapa.

Misime amesema, taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika nyumbani kwa marehemu, Kijiji Kiabakari, Butiama mkoani Mara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

Spread the love  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na...

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

error: Content is protected !!