Friday , 3 May 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

Habari

Dk. Gwajima aitambulisha wizara yake, atamba itafanya vizuri

  WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetambulishwa rasmi kwa jamii huku Waziri mwenye dhamana Dk. Dorothy Gwajima akijinadi...

Habari

Rais Samia ateua viongozi 2

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya...

Habari

Kaya 3,800 kushiriki utafiti utalii wa ndani

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amezindua rasmi utafiti wa utalii wa ndani na mchango wa sekta hiyo katika uchumi...

Habari

Waziri wa mambo ya ndani kushiriki maombi ya kitaifa

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni anatarajiwa kuongoza maombi maalumu ya kuliombea Taifa amani na utulivu yanayotarajiwa kufanyika kesho...

ElimuHabari

Somo la Hisabati pasua kichwa matokeo mtihani Kidato cha nne (2021

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku yakionesha somo la Basic Mathematics ndilo...

ElimuHabariTangulizi

Shule 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hizi hapa, Dar yachomoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku mkoa wa Dar es Salaam...

HabariTangulizi

Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku wasichana wakiongoza katika kundi la...

HabariTangulizi

Matokeo darasa la nne 2021 haya hapa

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kujipima ya darasa la nne 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari

Kesi ya Mbowe: Airtel yabanwa kuhusu ulinzi taarifa za wateja

ULINZI juu ya taarifa za wateja umeteka mahojiano kati ya Meneja wa Kitengo cha Sheria cha Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania PLC,...

Habari

Misri yaipa Tanzania msaada wa dawa, vifaa tiba vya milioni 860

  TANZANIA imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh.864 milioni vitavyosaidia kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai

  KIGOGO mwandamizi nchini Tanzania, kati ya leo Ijumaa na kesho, anatarajiwa kujitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. Anaripoti...

Habari

Kesi ya Mbowe: Miamala inayodaiwa ya Rais Mwinyi yaibuliwa

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umehoji kwa nini Meneja wa Kitengo...

HabariKitaifa

Airtel yaeleza miamala ya Mbowe mahakamani

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imepokea taarifa za miamala na usajili wa simu, kutoka...

HabariMichezo

JANNY SIKAZWE: Huyu ndiye mwamuzi wa ‘mauzauza’ AFCON 2021

  Janny Sikazwe ni mwamuzi ambaye ameyatia doa mashinadano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) yanayoendelea huko nchini Cameroon baada ya kuitibua timu...

HabariHabari za Siasa

Profesa Mkenda kuwatumia wastaafu kuboresha elimu Tanzania

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, ProfesaAdolf Mkenda amesema atatenga muda wa wiki tatu kuzungumza na watumishi wa wizara hiyo na kupitia...

Habari

Nape: Nimerudi kusimamia sheria ya habari

  WAZIRI wa Habari, Nape Nnauye, amesema amerudi katika wizara hiyo, ili kusimamia Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya 2016, aliyosimamia...

Habari

Chenge ajitosa kuwania uspika

  MBUNGE wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) leo tarehe 12 Januari, 2022 amechukua fomu za kuomba uteuzi wa kukiwakilisha Chama...

Habari

Mawaziri kuzifuta machozi familia za wanahabari waliofariki ajalini

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania, wameahidi kutoa mchango wa fedha, kwa ajili ya kuzisaidia familia za wanahabari waliopoteza maisha ajalini, wakiwa katika...

Habari

Barabara ya Chamwino kufungwa ‘smart camera’

  KATIKA kudhibiti ajali za mara kwa mara sambamba na watoto kugongwa katika barabara Kuu ya Dodoma – Dar es Salaam eneo la...

Habari

Ujumbe wa Askofu Bagonza kumpata Spika wa Bunge Tanzania

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera ametoa ujumbe wenye tahadhari wa kumpata spika mpya...

Habari

Askofu Mwambapa: Sherehe za Mapinduzi ziambatane na elimu ya uzalendo

  WATANZANIA wametakiwa kusherehekea Mapinduzi ya Zanzibari kwa kukumbuka kazi kubwa walizozifanya na waasisi wa Tanganyika na Zanzibar. Anaripoti Danson Kaijage Dodoma… (endelea)....

Habari

Wadau Tanzania wamkumbusha Nape magazeti yaliyofungiwa, yeye ajibu

  WADAU wa habari nchini Tanzania, wamesema uteuzi wa Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wameupokea...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania yaagiza uchunguzi ajali za wanahabari

  SERIKALI ya Tanzania, imeagiza uchunguzi dhidi ya wimbi la wanahabari kupata ajali, wakiwa katika misafara ya viongozi wa umma. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari

Wezi wavunja kanisa, wapika ndizi na kula, waiba vifaa

  WAUMINI wa Kanisa la Kiadventista la Boigesa lililopo katika eneo Bunge la Bobasi kaunti ya Kisii nchini Kenya, wamepigwa na butwaa siku...

Habari

Gwaride, ngoma za asili zapamba sherehe za Mapinduzi Zanzibar

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi leo tarehe 12 Januari, 2022 ameongoza mamia ya Wazanzibar na...

Habari

Mwanafunzi UDSM afariki dunia kwa kujirusha ghorofani

  MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania, Manawa Horera (22) amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka ghorofani. Anaripoti...

HabariTangulizi

#LIVE- Miaka 58 ya Mapinduzi Zanzibar

  LEO Jumanne tarehe 12 Januari 2022, Zanzibar inasherekea miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu yaliyotokea mwaka 1994. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Rais wa Zanzibar,...

HabariMichezo

Kiporo cha Simba dhidi ya Kagera Sugar kupigwa Januari 26

  Bodi ya Ligi imefanya marekebisho kwa michezo 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara, ukiwemo mchezo ulioahirishwa kati ya Kagera Sugar dhidi ya...

Habari

Mbunge Ditopile apongeza teuzi za Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum wa Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kwa kuteuwa mawaziri, manaibu mawaziri na...

Habari

Mwanaume apandikiziwa moyo wa nguruwe kwa mara kwanza duniani

MWANAUME raia wa Marekani amekuwa mtu wa kwanza duniani kupandikizwa moyo wa nguruwe aliyebadilishwa vinasaba (GMO). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Kwa mujibu...

Habari

Rais Samia ataka wanawake kuchangamkia fursa vyuo vya ufundi

  Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake kujifunza mafunzo ya ufundi wa ushonaji wa nguo kwa kuwa ni mojawapo ya sekta...

Habari

Rais Samia atajwa kesi ya kina Mbowe

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, ameulizwa na upande wa utetezi katika kesi ugaidi nayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

Habari

Kesi ya Mbowe: Shahidi azungumzia tukio la Lissu kupigwa risasi

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

HabariTangulizi

Shahidi: Mbowe hakukamatwa sababu ya katiba

  MRAKIBU wa Polisi, Jumanne Malangahe, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, hakukamatwa na Jeshi la Polisi Tanzania kwa sababu ya harakati za...

HabariTangulizi

Ajali yaua 14 Mwanza, wamo waandishi 6, Rais Samia awalilia

WATU 14 wamefariki dunia wakiwemo waandishi wa habari sita wa Mkoa wa Mwanza baada ya gari waliokuwa wakisafiri kwenda Ukerewe mkoani humo kugongana...

Habari

Watoto 2 wafariki dunia ndani ya gari Dar

  WATOTO wawili wamefariki dunia jana Jumapili, tarehe 9 Januari 2022, baada ya kujifungia ndani ya gari huku wakiwa wamefunga vioo na kukosa...

Habari

Dk. Mpango kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ameondoka kwenda Lilongwe nchini Malawi kuhudhuria mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na...

Habari

Naibu Spika ajitosa kuwania uspika, asema…

  NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amejitosa kuwania nafasi ya juu ya uongozi wa Bunge kwa kuchukua fomu ya...

HabariTangulizi

Hotuba ya Rais Samia ya kuuaga mwaka 2021, kuukaribisha 2022

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa tarehe 30 Desemba 2021, ametoa hotuba ya kuufunga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka mpya...

Habari

Rais Samia atangaza neema 2022

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoingoza itautizama kwa umakini mwaka 2022 ili kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

HabariTangulizi

Polisi yazungumzia sakata la Nabii Mwingira

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania limesema, linaendele na uchunguzi dhidi ya tuhuma mbalimbali zilizotolewa na Kiongozi...

HabariTangulizi

Vifo vilivyoitikisa dunia 2021

  HATIMAYE zimesalia siku tatu 2021 kufika ukingoni usiku wa Ijumaa, tarehe 31 Desemba mwaka huu, huku dunia ikitikiswa na vifo vya watu...

Habari

Ununuzi wa Meli: Bosi mpya bandari matatani

  MKURUGENZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Erick Hamissi, anatajwa kuwa mmoja wa watuhumiwa muhimu kwenye mradi wa kitapeli wa...

Habari

Jaji Mkuu awaonya mawakili wanaoshambulia mitandaoni

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewaonya mawakili wanaotumia mitandao ya kijamii, kushambulia utendaji wa mahakama na uamuzi unaotolewa na majaji....

HabariTangulizi

Tanzania kuiuzia gesi Kenya

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuanzisha mradi wa kuiuzia gesi Kenya. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo Ijumaa, tarehe 10...

Habari

Rais Dk. Mwinyi: Watanzania tusibaki watazamaji katika uwekezaji

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Watanzania kushirikia kikamilifu katika harakati za uwekezaji nchini badala...

Habari

Askofu Shoo aomba wimbo wa Taifa ubadilishwe

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameomba neno haki, liongezwe katika wimbo wa taifa hilo, kwani...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

  ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita....

Habari

Viongozi wa dini wahimiza haki

  VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini Tanzania, wamehimiza Watanzania kuwa walinzi wa haki za binadamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro…(endelea). Wito huo...

Habari

Dk. Amani Karume: Maendeleo ya wananchi si majengo tu!

  RAIS mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume ameeleza kufarijika kuona namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

error: Content is protected !!