LEO Jumanne tarehe 12 Januari 2022, Zanzibar inasherekea miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu yaliyotokea mwaka 1994. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi anawaongoza wananchi katika sherehe hizo kwenye Uwanja wa Aman.
Wageni mbalimbali wamehudhuria akiwemo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Fuatilia moja kwa moja kinachoendelea
Leave a comment