Saturday , 27 April 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

HabariTangulizi

Majaliwa atembelea bandarini, aipa maagizo TICTS

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha...

HabariMichezo

Pablo amgalagaza Nabi

  KOCHA wa klabu ya Simba Pablo Franco amechaguliwa kuwa kocha bora wa LigI Kuu Tanzania Bara mwezi Machi mara baada ya kumshinda...

Habari

ACT Wazalendo wakosoa Agenda ya Kilimo 10/30, watoa mapendekezo 4

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimetoa mapendekezo manne kwa Serikali ili kuimarisha sekta ya kilimo nchini na kuwakomboa wakulima katika wingu la umasikini....

Habari

Hizi hapa sababu wabunge kuikataa ripoti uchafuzi Mto Mara

  BAADHI ya wabunge wameomba uchunguzi huru ufanyike dhidi ya sakata la uchafuzi wa maji ya Mto Mara, baada ya kutoridhishwa na ripoti...

HabariTangulizi

Tanzania kufikisha ndege 16, ATCL yajitanua

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hadi kufikia Februari 2022 Serikali imekwisha kulipa malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya...

Habari

Majaliwa abainika mikakati upatikanaji wa maji

SERIKALI ya Tanzania imesema, itaendelea kutoa kipaumbele katika kusimamia na kuendeleza rasilimali za maji na usafi wa mazingira vijijini na mijini unakwenda kwa...

Habari

Majaliwa alieleza Bunge hali ya UVIKO-19

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imeendelea kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO- 19) kwa kuanzisha rasmi utekelezaji wa...

Habari

Serikali kutangaza ajira 32,000

  Serikali imesema wiki ijayo itatangaza nafasi za ajira 32,000 katika sekta ambazo zina upungufu mkubwa wa watumishi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)...

HabariMichezo

Chama amfunika Mayele

KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Machi kufuatia kuonesha kiwango bora akiwa...

HabariMichezo

Majaliwa: Simba wameupiga mwingi

  WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania...

HabariMichezo

Barbara afunguka sakata la Morrison kuzuiliwa Afrika kusini

  MTENDAJI mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez amekili kuwa, huwenda winga wao Bernad Morisson atakosekana kwenye mchezo wa marudiano wa kombe...

HabariMichezo

Simba vitani tena na wasauzi Robo fainali ya shirikisho Afrika

  Klabu ya soka ya Simba Tanzania imepangiwa kukutana na Orlando Pirates ya nchini Afrika kusini katika robo fainali ya kombe la shirikisho...

HabariMichezo

Aucho, Fei Toto kuikosa Azam FC, Bangala Farid hati hati

  VIUNGO wa klabu ya Yanga Feisal Salum ‘Fei Toto’ sambamba na Khalid Aucho hawatakuwa sehemu ya kikosi cha klabu hiyo kitakachoshuka dimbani...

Habari

Maofisa Ughani kumilikishwa pikipiki baada ya miaka miwili

MAOFISA Ughani nchini watamilikishwa pikipiki zinazotolewa na Serikali baada ya kuzitumia kwa miaka miwili katika kutoa huduma kwa wakulima. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Hatua...

Habari

Maafisa ughani zaidi ya 7000 kupewa pikipiki

WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema zaid ya pikipiki 7000 zitagawiwa kwa maafisa ughani kote nchini ili kuwawezesha kuwafikia wakulima kwa urahisi. Anaripoti...

Habari

Samia: Walioiba pembejeo ruzuku nataka wazione rangi zangu

RAIS SamiaSuluhu Hassan ameiagiza Taasisi yaKuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) “kuwashughulikia kisawasawa” wezi wa pembejeo za ruzuku na fedha za vyama vya...

HabariTangulizi

Simbachawene asema ‘flyover’ bila haki “tunajenga taifa katili”

  WAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, George Simbachawene, amesema nchi ikijengwa miundombinu ya madaraja na barabara za juu ‘Fly Over’, bila...

HabariTangulizi

Hofu yatanda Ngorongoro, madiwani wahojiwa CCM

  HOFU imetanda kwa madiwani na watetezi wa haki za binadamu waishio kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, baada ya baadhi ya madiwani kuhojiwa na...

HabariTangulizi

Samia: Uzinduzi daraja Tanzanite ni kumuenzi Magufuli

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa daraja jipya la Tanzanite lililopo jijini Dar es Salaam anauchukulia kama sehemu ya kumuenzi mtangulizi...

HabariTangulizi

Mke wa Mrema huyu hapa, aanika utajiri wake, asema hajafuata mali

DOREEN Kimbi, mke wa mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Augustino Lyatonga Mrema amesema umri baina yake na mumewe mwenye miaka 77 si tatizo. Anaripoti...

HabariTangulizi

Rais Samia akwamisha kongamano la TCD

  Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimesogeza mbele kongamano la haki, amani na maridhiano, hadi tarehe 4 na 5 Aprili 2022, sababu zikitajwa...

HabariMichezo

Kim Poulsen akoshwa na bao la Samatta

  KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa kimataifa wa...

HabariMichezo

Waziri Ndumbaro ataja faida za klabu ya Simba kutangaza utalii

  WAZIRI wa Maliasiri na utalii Dkt Damas Ndumbalo ameimwagia sifa klabu ya Simba katika jitihada zao za kutangaza utalii na kuefunguka juu...

Habari

Chuo cha Mwalimu Nyerere chajivunia siku 365 za Rais Samia

  CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) nchini Tanzania kimesema, Rais Samia Suluhu Hassan katika mambo aliyofanikiwa kuyafanya ndani ya kipindi cha...

HabariKimataifa

Serikali ya Rwanda yashutumiwa kwa kukandamiza uhuru wa kujieleza

MAELFU ya Watu Wamenyanyaswa , kutishwa na kufunguliwa mashitaka kwa kuwa na maoni muhimu kuhusu Serikali ya Rwanda , Humani Raght Watch [HRW]...

Habari

Nitazindua miradi ya Chato mwenyewe: Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataizindua mwenyewe miradi yote inayotekelezwa Wilayani Chato mkoani Geita kama ambavyo angefanya mtangulizi wake Hayati Dk. John Magufuli....

Habari

Zungu aipongeza NMB kuwakumbuka Machinga

  NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ameishukuru Benki ya NMB kwa kuwakumbuka wamachinga na kuwasaidia kukua. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Zungu...

GazetiHabariTangulizi

Mwaka mmoja wa Rais Samia, sekta ya michezo yatoka kifua mbele.

  KATIKA kuelekea kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wake, toka alipoingia madarakani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameonekana...

GazetiHabariMichezo

Yanga yamwalika Rais Samia Uwanjani, mchezo dhidi ya Kmc

KLABU ya soka ya Yanga, imemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan, kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

Habari

Lissu afunguka Chadema kujiunga Serikali ya Umoja wa Kitaifa

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema chama hicho hakiko tayari kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK),...

HabariTangulizi

Serikali yatenga Tril. 1/- kukopesha mabenki kwa riba ndogo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imetenga Shilingi trilioni moja katika mpango mahususi wa kuwezesha mabenki kukopesha kwa riba ndogo isiyozidi asilimia 10....

Habari

Vijana 854 waliofukuzwa JKT wasamehewa

  MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amewasamehe vijana 853 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa makambini April 12, 2021 kutokana...

BiasharaHabari

Zawadi NMB MastaBata zabaki milioni 100

KAMPENI ya NMB MastaBata inayoelekea ukingoni imebakiwa na zawadi ya Sh.100 milioni baada ya Sh.140 milioni kati ya Sh.240 milioni kunyakuliwa na washindi...

Habari

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

HabariMichezo

GSM wapata pigo

BABA mzazi wa mfanyabiashara maarufu na mfadhiri wa klabu ya Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM), mzee Said Mohamed amefariki Dunia leo Jumanne tarehe...

HabariMichezo

Poland yagoma kucheza na Urusi mchujo Kombe la Dunia

RAIS wa Chama cha Soka Poland, Cezary Kulesza amesema taifa hilo litakataa kuchuana na Urusi katika mechi ya mchujo ya kuwania Kombe la...

HabariMichezo

Yanga kusaka pointi 35 za Ubingwa

  UONGOZI wa klabu ya Soka ya Yanga umesema kuwa, katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanahitaji pointi 35 tu,...

HabariMichezo

Pablo aimaliza Berkane, awapa maagizo maalumu wachezaji

  NI kama swala la muda tu kikosi cha klabu ya Soimba kushuka dimbani kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi...

Habari

Rais Samia ataja kazi tatu Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, ‘viongozi wanayumbayumba kuleta maendeleo’

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uanzishwaji wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere itakwenda kujibu...

Habari

Kigogo Chadema aliyefutiwa kesi atakiwa kuripoti Polisi Machi 9

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemuachia kwa dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema, Hashim Issa Juma, aliyekamatwa...

Habari

Majaliwa aelezea sekta ya madini inavyoimarika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema sekta ya madini imeendelea kukua kwa kasi na kuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya...

HabariTangulizi

Rais Samia afunguka kesi ya Mbowe “tuiachie mahakama”

  KWA mara nyingine tena, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaokosoa hatua ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufunguliwa mashtaka...

Habari

Marekani, Uingereza zazungumzia mkutano wa Lissu na Samia

  NCHI za Marekani na Uingereza, kupitia balozi zake nchini Tanzania, zimepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti...

AfyaHabari

Mwanamke wa kwanza duniani aponywa Ukimwi kwa kupandikizwa seli

  WANASAYANSI jana Jumatano tarehe 16 Februari 2022, wametangaza ufanisi wao wa kumponya mwanamke wa kwanza aliyekuwa anaishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU),...

HabariHabari Mchanganyiko

Mwanamke adaiwa kutolewa figo na mwajiri wake

  MADAKTARI nchini Uganda wamethibitisha kuwa mwanamke aliyekuwa akifanya kazi za nyumbani nchini Saudi Arabia, aliondolewa figo yake ya kulia na sio ajali...

HabariMichezo

TFF yamfungia Shaffi Dauda miaka mitano

  Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania “TFF” limemfungia mjumbe wa mkutano mkuu wa TFF Shaffi Dauda miaka mitano kujihusisha na soka ndani...

HabariTangulizi

Tanzania kujenga kiwanda chanjo UVIKO-19

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoiongoza ina mpango wa kuanzisha kiwanda cha kuzalisha chanjo ya korona (UVIKO-19) na maradhi...

HabariMichezo

Wawili Yanga, kuikosa Biashara United leo

  KLABU ya Soka ya Yanga hii leo itashuka dimbani kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Biashara United kutoka mkoani...

HabariMichezo

Simba ya kimtaifa hatarii, yaibamiza ASEC mabao matatu

  KLABU ya soka ya Simba imeanza vizuri kampeni yake kwenye michuano ya kombe la Shirikisho Barani Afrika, kufuatia kuibuka na ushindi wa...

Habari

Prof. Ndalichako, Pinda wawafunda vijana

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako amesema vijana ni...

error: Content is protected !!