Wednesday , 8 May 2024

Habari

SECONDARY STORY: A picture & 5 paragraphs (300 words maximum).

ElimuHabari

Vijana Igunga wanunua pikipiki, kiwanja kwa fedha za UVIKO-19

VIJANA wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameeleza kufaidika na fedha za mradi wa ujenzi wa madarasa na ofisi za walimu baada ya...

BiasharaHabari

Waziri Mkenda aipongeza NMB kudhamini MAKISATU

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Adolf Mkenda ameishukuru Benki ya NMB kwa kushiriki na kudhamini maonesho ya Kitaifa ya Wiki...

HabariKimataifa

Mazungumzo yaanza kuwaondoa wanajeshi waliojeruhiwa Mariupol

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kuwa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha wanawaondosha wanajeshi wao, waliojeruhiwa katika jimbo la Mariupol. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

HabariKimataifa

Odinga amtangaza Martha Karua kuwa mgombea mwenza

HATIMAYE mpeperusha bendera wa Muungano wa Azimio la Umoja-katika Uchaguzi Mkuu nchini Kenya, Raila Odinga amemtangaza Martha Karua kama mgombea mwenza wake. Anaripoti...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Mulamula asaini kitabu cha maombolezo U.A.E

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula leo tarehe 16, Mei, 2022 amesaini kitabu cha maombolezo katika...

HabariHabari za Siasa

Sakata la kina Mdee: Chadema hawajapokea ‘Summons’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakijapokea wito wa mahakama kuhusu kesi inayodaiwa kufunguliwa na wanachama wake 19 waliofukuzwa hivi karibuni ndani...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee: Lissu ampinga Spika Tulia “ni uamuzi wa kisiasa”

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu ameukosoa vikali uamuzi wa Spika Tulia Ackson kuwabakisha bungeni Halima...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Bunge lagoma kuwang’oa Mdee, wenzake, lasubiri uamuzi wa mahakama

BUNGE la Tanzania limesema wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa uanachama wa Chadema, wataendelea kutumikia mhimili huo hadi pale Mahakama Kuu, itakapotoa uamuzi...

HabariMichezo

Simba wampa mkono wa kwaheri Morrison

  HATIMAYE klabu ya Simba imempa mkono wa kwaheri kiungo wake mshambuliaji Bernard Morrison, Raia wa Ghana ambaye atakauwa nje ya kikosi hiko...

HabariHabari Mchanganyiko

Marekani yajitosa ujenzi bandari ya Bagamoyo

SERIKALI ya Marekani imeahidi kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, kama Tanzania itakubali kupokea msaada huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zatupwa, Mbowe asema…

  RUFAA za Halima Mdee na wenzake 18 za kupingwa kufukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chadema zimetupiliwa mbali na wajumbe wa Baraza...

HabariHabari Mchanganyiko

Mradi wa ‘VijanaNaAmani255’ wazinduliwa, Mzee Butiku awafunda

MWENYEKITI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku ametoa wito kwa vijana nchini kutokubali kudanganyika na kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Babu Duni: Tukishirikiana tutaiondoa CCM 2025

MWENYEKITI wa chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji, amesema upinzani ukishirikiana uchaguzi ujao 2025 utaweza kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...

HabariHabari za Siasa

Rungwe aelezea machungu Awamu ya Tano “nimeenda Central mara tatu”

MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe, amedai misingi ya katiba na sheria haikufuatwa katika uongozi wa Awamu ya Tano,...

HabariHabari za Siasa

Msajili wa vyama aitolea uvivu Chadema

NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kishiriki katika mikutano ya vyama vya siasa, ili...

HabariHabari za Siasa

Ufaransa yaridhishwa na mazingira ya biashara nchini

UFARANSA imeonesha kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini Tanzania....

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la gongo lamuweka mbunge kitanzini, Spika aomba radhi

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuonya Mbunge Sengerema, Hamisi Tabasamu (CCM) baada ya kudaiwa kutweza mchango wa Mbunge wa Momba, Condester Sichwale...

BiasharaHabari

Benki ya Exim yaja na huduma ya bima ya maisha kwa vikundi

BENKI ya Exim Tanzania imezindua huduma mpya ya bima ya maisha iitwayo ‘Pamoja Hadi Mwisho’ mahususi kwa ajili ya vikundi rasmi na visivyo...

ElimuHabariTangulizi

Mitihani kidato cha sita, ualimu kuanza kesho

JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani ya kumaliza kidato ya...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Mkuu awashukia waliotafuna fedha Sengerema

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa miezi miwili kwa watumishi 30 wa Halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...

ElimuHabariTangulizi

Wabunge wacharuka kiingereza kitumike kufundishia ‘tutapigwa goli’

MJADALA kuhusu lugha gani itumike kufundishia kati ya kiingereza au Kiswahili umeendelea kutikisa baada ya asilimia kubwa ya wabunge kushauri kuwa kiingereza kitumike...

HabariMichezo

Inonga akabadhiwa Tuzo na Emirates mchezaji bora Aprili

  Mlinzi wa kati wa klabu ya Simba, Henock Inonga amekabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player...

Habari

Serikali yataja hatua inazochukua kudhibiti mfumuko bei

WAZIRI wa Viwanda Biashara na Uwekezaji, Dk. Ashatu Kijaji amesema Serikai imefanya tathimini ya upandaji wa bei za bidhaa nchini na kuchukua hatua...

HabariMichezoTangulizi

Kombe la Dunia FIFA kutua Tanzania

Kampuni ya vinjwaji Baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), linatarajia kulileta nchini kombe la Dunia...

HabariMichezo

Kanoute ‘Out’ dhidi ya Namungo

   KIUNGO mkabaji wa klabu ya Simba Raia wa Mali, Sadio Kanoute  hatokuwa sehemu ya kikosi cha klabu ya Simba kitakachoshuka dimbani kwenye...

HabariMichezo

Simba, Yanga zalimwa faini shilingi Mil. 4

  KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu (Kamati ya Saa 72), imezipiga faini klabu za Simba na...

HabariMakala & Uchambuzi

Mambo matano mchezo Simba na Yanga

  LICHA ya kwenda sare ya bila kufungana kwenye mchezo wa watani wa jadi, uliowakutanisha klabu za Simba na Yanga kwenye dimba la...

HabariMichezo

Mkazi wa Ruvuma ashinda Sh 50Mil za BetPawa

  FRED ambaye Mkazi wa Ruvuma amejishindia Sh 50Mil kutoka Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya BetPawa baada ya kupatia idadi ya mipira...

HabariTangulizi

Mbuge aliyefariki kuagwa bungeni J5, kuzikwa Ijumaa Rukwa

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Rukwa nchini Tanzania, Irene Ndyamkama, utazikwa mkoani Rukwa, Ijumaa ya tarehe 29 Aprili...

Habari

Lissu amshauri Rais Samia ang’oe vigogo wa awamu ya tano

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, awaondoe madarakani viongozi wa umma hasa wa vyombo vya ulinzi...

HabariMichezo

Simba yawasili Afrika kusini, walia kunyimwa Askari

  KLABU ya Simba imewasili salama nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates, huku wakilalamika kuwa wenyeji...

HabariTangulizi

Kina Mdee wabakiza siku 20 bungeni

  HATIMA ya Halima Mdee na wenzake 18 kuendelea kuwa wabunge wa viti maalumu itajulikana tarehe 11 Mei 2022, wajumbe wa Baraza Kuu...

Habari

Vigogo NMB watembelea Bunge Dodoma

  VIONGOZI mbalimbali wa Benki ya NMB nchini Tanzania wakiongozwa na Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi...

HabariMichezo

Stars mdomoni mwa Algeria na Uganda

  TIMU ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi F, sambamba na timu za Taifa za Uganda na Algeria katika kuwania tiketi ya kufuzu...

Habari

Simba yaomba kupewa ulinzi Afrika Kusini

  KLABU ya Soka ya Simba imeziomba mamlaka husika kuwapatia ulinzi wa kutosha wakati wa safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini kwenye mchezo...

Habari

Spika atoa pongeza kwa Rais Samia uzinduzi wa Royal Tour Marekani

  Spika wa Bunge la Tanzania, Tulia Akson, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuzindua makala maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii nchini...

HabariTangulizi

Chama ‘Magufuli’ moto, mawaziri nawabunge wahusishwa kujiunga

  CHAMA kipya cha siasa nchini Tanzania kinachojinasibisha na ‘Rais wa Wanyonge’, John Magufuli, kimeanza kuleta sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Habari

Wanajeshi walevi waua 15 mashariki mwa DRC

  Wanajeshi wawili wamewaua raia 15 kwa kuwapiga risasi katika mashambulio tofauti mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa...

HabariTangulizi

Kifo cha Paroko chaibua utata Dar

  UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, Dar es Salaam, Padri Francis...

HabariTangulizi

Rais Samia aeleza sababu ya kuzindulia Royal Tour Marekani

  RAIS Samia haikuwa bahati mbaya kuzindulia filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania duniani, Royal Tour nchini Marekani bali ni kutokana na nchi...

HabariTangulizi

Zitto alitega Bunge, CAG na Takukuru

  KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametaja mambo mawili yanayoweza kufanyika ili kupunguza wizi ama...

Habari

CAG abaini kasoro michezo ya kubahatisha

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini ufanisi duni kwenye mchakato wa utoaji leseni kwa waendeshaji...

HabariMichezo

Orlando Pirates yaikaushia Simba

  KLABU ya Orlando Pirates ya nchi Afrika Kusini, mpaka sasa haijatoa taarifa kuwa ni lini inatarajia kuingia nchini, kwa ajili ya mchezo...

HabariTangulizi

Mabadiliko tabianchi yabadili mvua za masika, TMA yatoa mapendekezo 5

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua za masika Machi- Mei mwaka 2022 zinatarajiwa kuwa chini ya wastani hadi wastani...

Habari

Mbunge aibua tuhuma nzito: “Serikali inawawekea vikwazo wananchi Ngorongoro”

MBUNGE wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai ameituhumu Serikali “inawawekea vikwazo vya kimaendeleo” wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuhamisha fedha za...

Habari

CAG aanika mabilioni yalivyochotwa TPA na kutafunwa Mwanza, ataka yarejeshwe

  OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka...

HabariTangulizi

Ndugai atinga Bungeni mara ya kwanza tangu ajiuzulu uspika

  Mbunge wa Kongwa na Spika Mstaafu wa Bungela Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kwa mara ya kwanza amehudhuria vikao vya...

HabariMichezo

Simba yazindua kampeni ya hamasa kuimaliza Orlando

  KLABU ya soka ya Simba imezindua rasmi kampeni ya hamasa kuelekea mchezo wa hatua ya robo fainali wa michuano ya kombe la...

HabariMichezo

Ahmed Ally afunguka ubora wa Fiston Mayele

  MARA baada ya kuibuka mjadala kwenye mitandao ya kijamii juu ya ubora wa mshambuliaji wa klabu Yanga Fiston Mayele, Meneja Habari na...

HabariHabari za Siasa

Profesa Mkumbo awasha moto bungeni bei mafuta

  MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitiola Mkumbo amewasha moto bungeni kutokana na Serikali kutochukua hatua yeyote juu ya kupanda bei ya nishati ya...

error: Content is protected !!