Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari Vigogo NMB watembelea Bunge Dodoma
Habari

Vigogo NMB watembelea Bunge Dodoma

Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi (chini Kulia) pamoja na Afisa mkuu wa Fedha, Juma Kimori (wapili chini kulia) na Afisa Mkuu wa Rasilimali watu wa Benki hiyo, Emmanuel Akonaay (mwenye kaunda suti) wakisimama wakati wa kutambulishwa na Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson walipofika kushuhudia kikao cha jijini Dodoma. Wengine ni maafisa mbalimbali wa benki hiyo walioongozana nao.
Spread the love

 

VIONGOZI mbalimbali wa Benki ya NMB nchini Tanzania wakiongozwa na Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi wametembelea na kujionea vikao vya Bunge la nchi hiyo vinavyofanyika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)

Mponzi na wenzake wametembelea leo Ijumaa tarehe 21 Aprili 2022 jijini Dodoma na kupata fursa ya kutambulishwa bungeni humo na Spika Tulia Ackson na kuibua shangwe kutoka kwa wabunge kuwashangilia pindi walipotambilishwa.

Afisa Mkuu wa wateja binafsi na Biashara wa benki ya NMB, Filbert Mponzi (Kulia) pamoja na Afisa mkuu wa Fedha, Juma Kimori (wapili kulia) na Afisa Mkuu wa Rasilimali watu wa Benki hiyo, Emmanuel Akonaay (katikati) wakifuatilia kikao cha bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Kushoto na nyuma yao ni maafisa wengine wa benki ya NMB walioongozana nao.

Mara baada ya kutambulishwa, ujumbe huo wa NMB ukiongozwa na Mponzi ulipata fursa ya kuzungumza na Spika Tulia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!