Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari Rais Samia aeleza sababu ya kuzindulia Royal Tour Marekani
HabariTangulizi

Rais Samia aeleza sababu ya kuzindulia Royal Tour Marekani

Spread the love

 

RAIS Samia haikuwa bahati mbaya kuzindulia filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania duniani, Royal Tour nchini Marekani bali ni kutokana na nchi hiyo kuwa makazi ya watu wengi wanaopendelea burudani na starehe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Amesema hayo leo Ijumaa ya tarehe 15 Aprili 2022 alipokuwa akizungumza na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris na mbele ya wanahabari katika Ikulu ya White House Washington DC nchini Marekani.

Katika video iliyorushwa kwenye chaneli ya YouTube ya Ikulu, Rais Samia amesema, “Kuichagua Marekani kwaajili ya uzinduzi haikuwa kwa bahati mbaya tanatambua na tumefanya kwa makusudi kwa kujua kwamba hii ndo makazi ya wapenzi wa burudani na starehe na hivyo kuwa na fursa kubwa ya programu hii kuonekana kote ulimwenguni.

“Pia ni matumani yangu kuwa uzinduzi wa program hii utavutia watu wengi kutembelea nchi yetu yenye mambo mengi ya kustaajabisha ,” amesema Rais Samia

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

error: Content is protected !!