Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua
HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

Askofu Munga
Spread the love

 

ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita.

Hao ni waliosimamishwa kazi ya kutoa huduma kwenye Dayosisi hiyo, kwa madai ya “ubadhirifu wa fedha.”

Jana, Askofu Munga alisema, madai kuwa wachungaji hao, ni wabadhirifu wa mali za Kanisa, hayana ukweli na kwamba kuibuka kwa tuhuma hizo sasa, ni mwendelezo wa makundi ya uchaguzi wa kiongozi wa Dayosisi hiyo.

“Ninawafahamu vizuri sana. Nimetumika nao kwa miaka mingi. Wana uadilifu wa hali ya juu na hoja nzuri na zenye mantiki. Niko nyuma yao,” alieleza Askofu Dk Munga.

Soma zaidi habari hii katika Gazeti la Raia Mwema, toleo la leo Jumanne, tarehe 7 Desemba 2021, kujua alichokisema Askofu Muga, waliosimamishwa pamoja na majibu ya Askofu Mbilu anayenyooshewa kidole kuhusika katika mgogoro huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!