
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ameondoka kwenda Lilongwe nchini Malawi kuhudhuria mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Dk. Mpango anakwenda kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo utakaofanyika Jumatano wiki hii, tarehe 12 Januari 2022.
Makamu huo wa Rais, ameondoka leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022 ambapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, ameagana na viongozi mbalimbali akiwemo
More Stories
Milioni 250 tozo za simu zajenga kituo cha Afya – Misha
Msukuma: Mbowe alipa-miss Ikulu
Apple Music yasherehekea mafanikio ya Bara la afrika