Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari Dk. Mpango kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC
Habari

Dk. Mpango kumwakilisha Rais Samia mkutano SADC

Spread the love

 

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango ameondoka kwenda Lilongwe nchini Malawi kuhudhuria mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Dk. Mpango anakwenda kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo utakaofanyika Jumatano wiki hii, tarehe 12 Januari 2022.

Makamu huo wa Rais, ameondoka leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022 ambapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam, ameagana na viongozi mbalimbali akiwemo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!