Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai
HabariHabari za SiasaTangulizi

Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai

Spread the love

 

KIGOGO mwandamizi nchini Tanzania, kati ya leo Ijumaa na kesho, anatarajiwa kujitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vyetu, kikiwamo Chama Cha Mapinduzi (CCM), kigogo huyo anapewa nafasi kubwa ya kushinda nafasi hiyo, na amepanga kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo kupitia CCM.

“Kati ya leo na kesho, kama mambo yatakwenda kama yalivyo, basi kuna kiongozi mwandamizi serikalini na bungeni, anatarajiwa kuchukua fomu ya kuwania uspika. Hilo likitokea, basi fahamu kuwa huyo ndiye anayeweza kuwa Spika wetu mpya.”

Kigogo gani huyo, soma zaidi Gazeti la Raia Mwema la leo Ijumaa, tarehe 14 Januari 2022

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!