Thursday , 18 April 2024
Home Gazeti Habari Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza
HabariTangulizi

Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza

Spread the love

 

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku wasichana wakiongoza katika kundi la watahiniwa 10 bora kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo tarehe 15, 2022 na Katibu mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta), Dk. Charles Msonde yameonesha kuwa jumla ya wanafunzi wa kike nane kati ya 10 wameingie kwenye kundi hilo.

Aidha, Shule ya Sekondari ya Wasichana St. Francis iliyopo mkoani mbeya ndiyo iliyotoa wanafunzi watano bora kitaifa kuanzia mshindi wa kwanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atua Uturuki kwa ziara ya siku 5

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amewasili nchini Uturuki kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia arejesha mikopo ya 10%, bilioni 227.96 zatengwa

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amerejesha utaratibu wa utoaji mikopo...

error: Content is protected !!