Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari Hali ilivyo St. Peter kwenye Ibada ya Dk. Magufuli
HabariTangulizi

Hali ilivyo St. Peter kwenye Ibada ya Dk. Magufuli

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli ukitoka Ikulu jijini Dar es Salaam
Spread the love

 

VIKOSI vya usalama vimeimarisha ulinzi kila mahali, waombolezaji na watu mbalimbali wanaingia kwa kutumia mlango mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu

Kila anayeingia eneo hili analaguliwa lakni pia anapewa kitakasa mikono(sanitizer), sehemu za kuegesha magari eneo lianalozunguka kanusa limejaa.

Vikosi vya usalama vinaelekeza wenye nagari kwenda mele zaidi kutafuta eneo LA kuegesha magari, barabara ya Ali Hassan Mwingi ni nyeupe kwa maana askari wa usalama barabarani wamesimama kila njia panda ya kuingia barabara hiyo.

Uwanja wa kanisa vikosi vya Jeshi la Wananchi (JWTZ), vimechukua sehemu kubwa ya ulinzi, utulivu unetawala eneo hili huku nyimbo za maombolezo zikiendelea kuimbwa.

Mwili huh umeingia kanisani hapo ukitokea Ikulu ya Magogoni jijini Dar es Salaam ente alilohudumu kwa takribani Milka mitant na meiji mitano.

Watumishi wa Ikulu, walipata fursa ya kumuaga kwa kumpungia mkono jeneza lililokuwa limebeba mwili wa Dk. Magufuli ambaye atazikwa Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

error: Content is protected !!