Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya
Habari

Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya

Spread the love

 

BASTOLA ya Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM) iliyoibwa tarehe 15 Februari 2021, katika eneo la Kawe Beach, jijini Dar es Salaam, imepatikana mkoani Mbeya. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea).

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi tarehe 18 Februari 2021, amesema, bastola hiyo aina ya Glock 17 yenye namba YX647 ikiwa na risasi 14, ilipatikana jijini Mbeya.

Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM)

Mambosasa amesema, ushirikano kati yao na polisi wa Mbeya umefanikiwa kukamatwa kwa bastola hiyo jana Jumatano, “mtuhumiwa mmoja anashikiliwa kwa tuhuma za wizi wa silaha hiyo.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

Spread the love  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na...

AfyaHabari

Ugonjwa wa ajabu ulioua watano Bukoka ni Marburg

Spread the loveWAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa ajabu uliosababisha...

AfyaHabariHabari

Ugonjwa wa ajabu wadaiwa kuua watano Kagera, Serikali yatoa tahadhari

Spread the loveJUMLA ya watu watano wanaidaiwa kufariki dunia  katika vijiji vya...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

error: Content is protected !!