Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya
Habari

Nape aibiwa bastola Dar, yapatikana Mbeya

Spread the love

 

BASTOLA ya Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM) iliyoibwa tarehe 15 Februari 2021, katika eneo la Kawe Beach, jijini Dar es Salaam, imepatikana mkoani Mbeya. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea).

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi tarehe 18 Februari 2021, amesema, bastola hiyo aina ya Glock 17 yenye namba YX647 ikiwa na risasi 14, ilipatikana jijini Mbeya.

Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama (CCM)

Mambosasa amesema, ushirikano kati yao na polisi wa Mbeya umefanikiwa kukamatwa kwa bastola hiyo jana Jumatano, “mtuhumiwa mmoja anashikiliwa kwa tuhuma za wizi wa silaha hiyo.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!