Michezo
WAKATI ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ukingoni, huku bado kukiwa na vita ya ubingwa Kati ya mafahari wawili wa soka la Tanzania, kkabu...
By Mwandishi WetuMay 17, 2022KOCHA wa klabu ya Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, Mbwana Makata pamoja na meneja wa kikosi hiko David Naftari wamefungiwa...
By Kelvin MwaipunguMay 17, 2022MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga, Fiston Mayele amefunguka sababu zilizofanya kushindwa kupachika bao lolote katika michezo minne ya Ligi Kuu Tanzania Bara,...
By Mwandishi WetuMay 15, 2022HATIMAYE klabu ya Simba imempa mkono wa kwaheri kiungo wake mshambuliaji Bernard Morrison, Raia wa Ghana ambaye atakauwa nje ya kikosi hiko...
By Kelvin MwaipunguMay 13, 2022MARA baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana dhidi ya Tanzania Prison, klabu ya Soka ya Yanga imetikiza dakika 27o sawa na...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2022Mlinzi wa kati wa klabu ya Simba, Henock Inonga amekabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2022Kampuni ya Emirates Aluminium Profile imemzawadia kiasi cha shilingi Milioni mbili, Meneja Habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally, kwa...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2022Mchezaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Ally Mayay amefunga juu ya ubora wa Ligi Kuu Tanzania Bara na kusema kuwa wanaosema...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2022KLABU ya Soka ya Yanga ndani ya siku 17 zijazo, huwenda ikamaliza mchezo kwa kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu soka...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2022Kampuni ya vinjwaji Baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), linatarajia kulileta nchini kombe la Dunia...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022KIUNGO mkabaji wa klabu ya Simba Raia wa Mali, Sadio Kanoute hatokuwa sehemu ya kikosi cha klabu ya Simba kitakachoshuka dimbani kwenye...
By Kelvin MwaipunguMay 2, 2022KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu (Kamati ya Saa 72), imezipiga faini klabu za Simba na...
By Mwandishi WetuMay 2, 2022FRED ambaye Mkazi wa Ruvuma amejishindia Sh 50Mil kutoka Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya BetPawa baada ya kupatia idadi ya mipira...
By Mwandishi WetuApril 25, 2022BINGWA wa masumbwi, Tyson Fury alimemtandika kwa KO mbabe mwenzie Dillian Whyte katika raundi ya sita na kutwaa taji lake la uzito wa...
By Gabriel MushiApril 24, 2022WEKUNDU wa Msimbazi, Timu ya Simba kesho inacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani...
By Gabriel MushiApril 23, 2022KLABU ya Simba imewasili salama nchini Afrika Kusini kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates, huku wakilalamika kuwa wenyeji...
By Kelvin MwaipunguApril 22, 2022TIMU ya Taifa ya Tanzania imepangwa kundi F, sambamba na timu za Taifa za Uganda na Algeria katika kuwania tiketi ya kufuzu...
By Kelvin MwaipunguApril 20, 2022KLABU ya soka ya Simba imeonekana kutouwazia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya wapinzani wa karibu klabu ya Yanga, kwa...
By Kelvin MwaipunguApril 18, 2022MCHUMBA wa aliyekuwa Msanii wa Bongo fleva, Maunda Zoro ambaye amefariki dunia jana Kigamboni jijini Dar es Salaam, amefunguka kwamba alitarajia kufunga...
By Faki SosiApril 14, 2022KLABU ya Orlando Pirates ya nchi Afrika Kusini, mpaka sasa haijatoa taarifa kuwa ni lini inatarajia kuingia nchini, kwa ajili ya mchezo...
By Kelvin MwaipunguApril 14, 2022KLABU ya soka ya Simba imezindua rasmi kampeni ya hamasa kuelekea mchezo wa hatua ya robo fainali wa michuano ya kombe la...
By Kelvin MwaipunguApril 12, 2022MARA baada ya kuibuka mjadala kwenye mitandao ya kijamii juu ya ubora wa mshambuliaji wa klabu Yanga Fiston Mayele, Meneja Habari na...
By Kelvin MwaipunguApril 12, 2022KOCHA mkuu wa Yanga, Mohammed Nabi hatokuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba kufuatia kuoneshwa kadi nyekundu kwenye mchezo...
By Kelvin MwaipunguApril 11, 2022KLABU ya Simba ni kama imeweka ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara rehani, baada ya kulizimishwa suluhu na kikosi cha Polisi...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022MIAMBA ya soka ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ya Simba na Yanga inashuka dimbani katika michuano na muda tofauti leo...
By Mwandishi WetuApril 10, 2022KOCHA wa klabu ya Simba Pablo Franco amechaguliwa kuwa kocha bora wa LigI Kuu Tanzania Bara mwezi Machi mara baada ya kumshinda...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara mwezi Machi kufuatia kuonesha kiwango bora akiwa...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa, ameipongeza klabu ya soka ya Simba kwa kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022MTENDAJI mkuu wa klabu ya Simba Barbara Gonzalez amekili kuwa, huwenda winga wao Bernad Morisson atakosekana kwenye mchezo wa marudiano wa kombe...
By Kelvin MwaipunguApril 6, 2022Klabu ya soka ya Simba Tanzania imepangiwa kukutana na Orlando Pirates ya nchini Afrika kusini katika robo fainali ya kombe la shirikisho...
By Masalu ErastoApril 5, 2022VIUNGO wa klabu ya Yanga Feisal Salum ‘Fei Toto’ sambamba na Khalid Aucho hawatakuwa sehemu ya kikosi cha klabu hiyo kitakachoshuka dimbani...
By Kelvin MwaipunguApril 5, 2022USHINDI wa mabao 4-0, ulitosha kuifanya klabu ya Simba kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika mara...
By Kelvin MwaipunguApril 4, 2022MSHAMBULIAJI, wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelroy ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa Klabu ya PSV Eidhoven inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uholanzi....
By Gabriel MushiMarch 31, 2022STEVEN Mangele maarufu Steve Nyerere ametangaza kujizulu nafasi ya Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT). Anaripoti Rhoda Kanuti, Dar es Salaam...
By Masalu ErastoMarch 25, 2022MABINGWA wa Ulaya, Italia hawatacheza Kombe la Dunia la mwaka 2022 baada ya kushangazwa na Macedonia Kaskazini katika mechi yao ya mchujo...
By Mwandishi WetuMarch 25, 2022KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa kimataifa wa...
By Kelvin MwaipunguMarch 24, 2022WAZIRI wa Maliasiri na utalii Dkt Damas Ndumbalo ameimwagia sifa klabu ya Simba katika jitihada zao za kutangaza utalii na kuefunguka juu...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2022WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Mohamed Mchengerwa ameingilia kati sakata linaloendelea la msemaji mpya wa Shiriko la Muziki Tanzania,...
By Mwandishi WetuMarch 22, 2022VIGOGO – Yanga wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuizabua Klabu ya KMC mabao 2-0 usiku huu...
By Gabriel MushiMarch 19, 2022KLABU ya soka ya Yanga, imemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan, kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...
By Kelvin MwaipunguMarch 16, 2022SERIKALI imetoa ahueni kwa vyombo vya habari vya mtandaoni kwa kupunguza malipo ya ada ya leseni ya mwaka na kuwaondolea ada watoa...
By Faki SosiMarch 14, 2022BAO la dakika 42, lililowekwa kamabi na Pape Ousamne Sakho dhidi ya RS Berkane, lilitosha kuifanya klabu ya Simba kuwa kileleni kwenye...
By Kelvin MwaipunguMarch 13, 2022MSANII wa Bongofleva kutoka lebo ya Wasafi, Raymond Mwakyusa ‘ Rayvanny’ amezidi kuzikwea ngazi za kimuziki duniani baada ya kuangusha bonge la shoo...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2022RAIS wa heshima na mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji “MO” amefunguka kuwa klabu hiyo tayari imeshaanza mazungumzo na baadhi ya...
By Kelvin MwaipunguMarch 11, 2022MAHAKAMA nchini Marekani imemuhukumu mwigizaji, Jussie Smollett, kifungo cha siku 150 jela ,baada ya jopo la majaji kugundua kuwa alidanganya polisi kuhusu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022KICHAPO cha goli 3 -1 ilichopokea Klabu ya PSG kutoka kwa wababe Real Madrid kimemuweka matatani kocha Mauricio Pochettino baada ya ndoto ya...
By Gabriel MushiMarch 10, 2022BILIONEA Joel Jaffer A’ita raia wa Uganda ameibua gumzo baada ya kuwasilisha ombi la kutaka kuinunua Klabu ya Soka ya Chelsea inayoshiriki...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2022MECHI ya nusu fainali katika michuano ya kufuzu fainali za kombe la dunia kati ya Uskochi na Ukrenia imeahirishwa. Inaripoti BBC …...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2022MKALI wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ na uongozi mzima wa rekodi lebo ya Konde Gang sio kweli kwamba walimpokonya msanii Country Boy...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2022MFUMANIA nyavu wa Yanga Sc. Fiston Mayele anaweza kuweka rekodi ya kuwa mfungaji aliyefunga goli mapema zaidi ikiwa ni sekunde ya 50 tangu...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022