Friday , 26 April 2024

Michezo

Michezo

MichezoTangulizi

Wanywa bia Kombe la Dunia wapewa masharti

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA)  limesema uuzaji wa bia hautaruhusiwa ndani ya uwanja wakati mechi ikiwa inaendelea isipokuwa kwa masharti maalumu...

HabariMichezo

Simba Queen wapewa basi kwa Safari za ndani

  Timu ya Soka ya wanawake ya Simba (Simba Queens) leo  Septemba 2 2022 imepewa basi na kampuni ya  uuzaji wa magari ya...

HabariMichezo

Kisinda, Ntibazonkiza wafunga dirisha la usajili Tanzania

  WACHEZAJI wa kimataifa Tuisila Kisinda pamoja na nyota kutoka Burundi Saido Ntibanzokiza wameng’ara dakika za mwisho wakati wa kufungwa kwa dirisha la...

Michezo

Azam FC wambadilishia majukumu kocha wao

  MATAJIRI wa jiji la Dar es Salaam – Azam FC leo tarehe 29 Agosti, 2022 wamethibitisha kumbadilishia majukumu kocha wao mkuu, Abdihamid...

Michezo

Samia awapongeza Simba Queen kutwaa CECAFA

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Soka ya Simba Qeens SC kwa kutwaa ubingwa wa Afrika Mashariki wa CECAFA 2022 kwa Wanawake...

Michezo

Lewandowski afungua akaunti ya mabao Barcelona

  MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Barcelona raia wa Poland, Robert Lewandowsik amefungua rasmi akaunti ya mabao katika klabu yake mpya baada ya jana...

Michezo

Simba waipa pole Yanga kwa ajali ya mashabiki

  UONGOZI wa klabu ya Simba umetoa pole kwa wapinzani wao Yanga kufuatia ajali ya gari la mashabiki wa timu hiyo lililokuwa linaelekea...

Michezo

Mmoja afariki, 5 wajeruhiwa wakielekea mechi ya Yanga, Coastal

  MTU mmoja amefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana usiku tarehe 19 Agosti, 2022 katika barabara ya...

HabariMichezo

Yanga yaingia mkataba na kampuni ya Jakson Group

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya soka ya Yanga hii leo Tarehe 19 Agosti 2022, imeingia rasmi kandarasi ya...

HabariMichezo

Kipa Yanga aibukia Rwanda  

  Aliyekuwa mlinda mlango wa klabu ya Yanga Ramadhan Kabwili, rasmi amejiunga na klabu ya soka ya Rayon Sport ya nchini Rwanda kama...

Michezo

Simba warejea kileleni baada ya mwaka mmoja

KLABU ya soka ya  Simba imefanikiwa kurudi kileleni  katika msimu wa Ligi kuu Tanzania bara baada ya  jana tarehe 17 Agosti 2022 kuibuka...

HabariMichezo

Yanga yaanza safari ya kutetea ubingwa wake

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kwanza wa...

Michezo

Ngao ya Jamii kuchezwa kwa mtoano

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza mabadiliko ya kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara zitakazotumika katika msimu ujao wa 2022/23 ambapo kuanzia...

Michezo

KMC yatua Arusha kibabe

  KIKOSI cha KMC imetua jijini Arusha kwa maandaizi ya michezo yake miwili ya Ligi Kuu ya NBC, msimu wa 2022/23 itakayopigwa tarehe...

HabariMichezo

Ligi Kuu kuanza kutimua vumbi leo

Ligi kuu ya soka Tanzania Bara msimu wa 2022/23 kuanza kutimua vumbi leo 15 Agosti 2022 kwa kushuhudia mechi mbili katika viwanja viwili...

MichezoTangulizi

Yanga yairarua Simba, Mayele atetema

  KLABU ya Soka ya YANGA imeanza vema msimu mpya kwa kutetea taji lao la Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1...

MichezoTangulizi

Sherehe zimekwisha sasa tukutane Agosti 13

MIONGONI mwa burudani zilizokuwa zinasubiriwa kwa hamu ni pamoja na kilele cha Siku ya Mwananchi na Siku ya Simba, sherehe ambazo huambatana na...

HabariMichezo

Serena Williams atangaza ‘kuondoka’ kwenye mchezo wa tenisi

  MCHEZAJi maarufu wa tenisi ulimwenguni, Serena Williams, amepanga kujiuzulu rasmi mchezo huo, akisema kuwa atakuwa “anaondoka ” katika mchezo huo baada ya...

HabariMichezo

Simba wamponza Meneja Uwanja wa Mkapa, ang’olewa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezho, Mohamed Mchengerwa leo tarehe 9, 2022 amemuagiza Katibu Mkuu wizara hiyo, Dk. Hassan Abbasi kumpangia majukumu mengine...

MichezoSokaTangulizi

Simba SC. yang’ara, yawakung’uta 2:0 wahabeshi

KILELE cha Sherehe ya Siku ya Simba ‘Simba Day’ kimetamatika kwa kwa cheko la furaha baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2:0...

HabariMichezo

Kagere , Lwanga waagwa kwa Furaha

  Walio kuwa wachezaji wa klabu ya Simba Meddie Kagere pamoja na Thadeo Lwanga wameagwa rasmi leo Agosti 6 2022 katika kilele cha...

MichezoSokaTangulizi

Manara, Hersi kizimbani TTF

SEKRETARIETI ya Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said na aliyekuwa Msemaji wa...

HabariMichezo

Morrison aomba radhi Mashabiki Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa raia wa Ghana Bernard Morison ameomba radhi kwa mashabiki wa klabu ya Yanga kwa yale yote yaliotokea kipindi alipoondoka...

MichezoTangulizi

Vipers wavuruga Siku ya Mwananchi, waitandika Yanga 2-0

MABINGWA wa Uganda, Vipers SC wamevuruga sherehe za kilele cha Siku ya Wananchi – Yanga S.C baada ya kuwaadhibu kwa bao 2 -0...

Michezo

Simba kucheza na mabingwa wa Ethiopia ‘Simba Day’

  KLABU ya soka ya Simba imetangaza rasmi kuwa itacheza mchezo wa kirafiki na timu ya St. George ya Ethiopia katika maadhimisho ya...

Michezo

Nandy aanika vituko vinavyotokana na ujauzito wake

  MSANII maarufu nchini Tanzania Nandy ameelezea kwa uwazi vituko anavyofanya kutokana na hali yake ya ujauzito. Anaripoti Juliana Assenga, UDSM … (endelea)....

Michezo

Simba SC kurejea nchini leo kuelekea ‘Simba Day’

  KLABU ya soka ya Simba yenye makazi yake mitaa ya Msimbazi jijini Dar es Salaam wanatarajia kurejea nchini leo tarehe 4 Agosti,...

MichezoTangulizi

Simba, Yanga kukutana Oktoba 23 Ligi Kuu

  MECHI inayo vikutanisha vigogo wa soka la Tanzania Simba na Yanga (Kariakoo Derby) katika Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2022/23, inatarajiwa...

HabariMichezo

M-Bet yaijaza mabilioni Simba, waipiku Yanga

  KLABU ya soka ya Simba inayoshiriki Ligi kuu Tanzania Bara, imesaini mkataba wa miaka mitano na kampuni ya kubashiri ya M-Bet kama...

HabariMichezo

Yanga yatangaza viingilio siku ya mwananchi, tiketi VVIP zamalizika ndani ya saa 3

  klabu ya soka ya Yanga yenye makazi yake mitaa ya Jagwani na Twiga jijini Dar es salaam imetangaza rasmi viingilio vyote vitakavyotumika katika ...

HabariMichezo

Djuma Shaban asalia Yanga kwa mwaka mmoja Zaidi

  Mabjngwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga, imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia Raia wa...

HabariMichezoTangulizi

Simba wazindua rasmi wiki yao, majibu ya jezi yapatikana

  KLABU ya Soka ya Simba hii leo tarehe 31 Julai 2022, imezindua rasmi wiki yao kuelekea kwenye tamasha kubwa la Siku ya...

Michezo

Simbu aibeba Tanzania mbio ndefu

Mwanariadha Alphonce Simbu amekuwa Mtanzania wa kwanza kutwaa medali kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola msimu huu inayoendelea Uingereza. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

HabariMichezo

Kocha Simba ashtuka, Okrah, Phiri wapewa kazi nzito

  MARA baada ya kupoteza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu, kocha mkuu wa klabu ya Simba Zoran Maki ameanza tena kulifanyia kazio...

HabariMichezo

Simba, Yanga wakamia Wajifua usiku na mchana, Nabi, Zoran waumiza vichwa

  ZIKIWA zimebaki wiki mbili sawa na siku 14, kabla ya klabu za Simba na Yanga kushuka dimbani kwenye mchezo wa ufunguzi wa...

HabariMichezo

Stars yaibuka mbabe mbele ya Somalia

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya Somal;ia katika kutafuta tiketi ya kufuzu...

GazetiHabariMichezo

Haji Manara afungiwa miaka miwili, faini Sh20 Mil.

  KAMATI ya maadili ya shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemfungia msemaji wa klabu ya Yanga Haji Manara, kujihusisha na mchezo...

MichezoTangulizi

Nandy angua kilio ndoa na Billnass

  ‘COUPLE’ maarufu wa Bongofleva, William Lyimo ‘Billnass’ na Faustina Mfinanga ‘Nandy’ leo tarehe 16 Julai, 2022 wamefunga ndoa takatifu katika Kanisa la...

HabariMichezo

Stars yaingia kambini hii leo

  KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzani (Taifa Stars) kimeingia kambini hii leo tarehe 15 Julai, kujiandaa na mchezo wa kufuzu kwa...

HabariMichezo

Simba yapaa kuelekea Misri, watano waachwa

  KLABU ya soka ya Simba imeondoka nchini hii leo tarehe 14 Julai 2022 kuelekea nchini Misri kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu...

HabariMichezo

24 waitwa kambini Stars, kujiandaa dhidi ya Somalia

  KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Kim Poulsen amita wachezaji 24, wa timu ya Taifa ya Tanzania watakaoingia kambini kwa ajili...

HabariMichezo

Simba kumekucha, Okrah kuungana na Chama, Sakho safarini Misri kesho

  KLABU ya Simba imeendelea kushika kasi kwenye usajili wa wachezaji mbalimbali, kufuatia hii leo tarehe 13 Julai 2022, kutmabulisha kiungop mshambuliaji Agustine...

HabariMichezo

Simba kutimkia Misri, kuweka kambi ya wiki nne

  KLABU ya soka ya Simba inatarajia kuondoka nchini kwenda nchini Miosri kwa ajili ya kufanya maandalizi ya msimu mpya ujao wa mashindano...

Habari MchanganyikoMichezo

Mchengerwa: Bi Hindu ameacha alama

  WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammedi Mchengerwa amesema kifo cha muigizaji mkongwe Chuma Suleiman maarufu kama Bi Hindu kimeacha pengo kubwa...

HabariMichezoTangulizi

Yanga yamtambulisha rasmi Bigirimana

  IKIWA katikati ya mkutano mkuu wa mwaka wa klabu hiyo, ambao umebeba ajenda kubwa ya Uchaguzi, Rais mteule wa klabu hiyo Mhandisi...

Michezo

Ugonjwa uliomuondoa Bi Hindu watajwa

  FAMILIA ya Muigizaji mkongwe nchini, Chuma Selemani maarufu kama ‘Bi Hindu’, imeweka wazi maradhi yaliyosababisha umauti wa mkongwe huyo kwenye sanaa ya...

HabariMichezo

Yanga yatawala tuzo za TFF

  Klabu ya soka ya Yanga Mabigwa wa Ligi ya NBC usiku wa jana 7 julai 2022 wameibuka vinara baada ya kutwaa tuzo...

HabariMichezo

Mahakama yawakosa na hatia Sepp Blatter, Michel Platini

RAIS wa zamani wa Fifa Sepp Blatter na makamu wa rais Michel Platini wote wamepatikana bila hatia kufuatia kesi yao ya ulaghai. Anaripoti...

HabariMichezo

Mchengerwa ataka vilabu viwe na viwanja vyao

  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amezitaka klabu nchini kuhakikisha wanamili viwanja vyao ili kukuza ustawi wa soka nchini, ambapo...

HabariMichezo

Injinia Hersi kuanza na uwanja Yanga

  Mgombea wa nafasi ya Urais katika klabu ya soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Injinia Hersi Saidi leo 5 julai,...

error: Content is protected !!