Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari Morrison aomba radhi Mashabiki Yanga
HabariMichezo

Morrison aomba radhi Mashabiki Yanga

Spread the love

Mshambuliaji wa kimataifa wa raia wa Ghana Bernard Morison ameomba radhi kwa mashabiki wa klabu ya Yanga kwa yale yote yaliotokea kipindi alipoondoka klabuni hapo na kujiunga na wapinzani wao Simba. Anaripoti Damas Ndelema

Mchezaji huyo aliyejiunga na Yanga akitokea katika klabu ya Simba aliwaomba radhi mashabiki leo wakati akitambulishwa katika maadhimisho ya kilele cha wiki ya mwananchi yaliyofanyika leo Agosti 6 2022 katika dimba la Benjamin Mkapa

Akizungumza katika tamasha hilo mchezaji huyo alisema anapenda kuwaomba msamaha mashabiki na sasa amerejea nyumbani alisema kuwa miaka kadhaa nyuma aliwahi kusimama katika uwanja huo wa Benjamin Mkapa na kusema kuwa yupo chuo kikuu ila leo yupo kuchukua elimu ya juu zaidi

“Niliwahi kusisimama hapa na kusema nipo chuo kikuu ila leo nipo hapa kuchukua elimu ya juu masters “

Morisoni ni moja ya wachezaji waliosajiliwa na Yanga msimu huu na mashabiki wanamatarajio makubwa kutoka kwake hasa kwenye michuano ya kimataifa kwani ni mchezaji mzuri mwenye uzoefu na uwezo mkubwa uwanjani ukiachana na matukio yake ya nje ya uwanja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!