Michezo
CHIKO Ushindi aliyekuwa winga wa klabu ya TP Mazembe ya nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo amekamilisha usajIli wa kujiunga na klabu ya...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2022FISTON Kalala Mayele kwa sasa ni moja ya washambuliaji ambao hawakamiti kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya kuingoza Yanga kwenye...
By Kelvin MwaipunguJanuary 16, 2022KLABU ya soka ya Simba imetangaza rasmi kumrejesha kiungo wake raia wa Zambia Clatous Chama, mara baada ya kufanikiwa kumsajili tena akitokea...
By Kelvin MwaipunguJanuary 14, 2022LICHA ya kutwaa taji la kombe la Mapinduzi, klabu ya soka ya Simba imetwaa tuzo tatu muhimu kwenye michuano hiyo ambayo imeunguruma...
By Kelvin MwaipunguJanuary 14, 2022Janny Sikazwe ni mwamuzi ambaye ameyatia doa mashinadano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) yanayoendelea huko nchini Cameroon baada ya kuitibua timu...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2022Bodi ya Ligi imefanya marekebisho kwa michezo 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara, ukiwemo mchezo ulioahirishwa kati ya Kagera Sugar dhidi ya...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la Mapinduzi inayofanyika visiwani Zanzibar kufuatia kuondoka na ushindi wa...
By Kelvin MwaipunguJanuary 10, 2022KOCHA wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze amemtetea mlinda mlango wake Erick Johora aliyeingia kuchukua nafasi ya Aboutwalib Mshery na kufungwa penati...
By Kelvin MwaipunguJanuary 10, 2022KLABU ya Soka ya Yanga imevuliwa rasmi ubingwa wa kombe la Mapinduzi mara baada ya kuondolewa na Azam Fc katika mchezo wa...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022WENYEJI wa mashindano ya Kombel la Mataifa ya Afrika, Cameroon jana usiku walitoka nyuma na kuwalaza Burkina Faso bao 2-1 katika mechi...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022Wachezaji wanne wa timu ya Taifa ya Morocco wataukosa mchezo wa leo dhidi ya timu ya Taifa ya Ghana, kwenye michuano ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 10, 2022DABI ya watani wa jadi kwa upande wa akina dada, Simba Queens na Yanga Princess imemaliza kwa wekundu hao wa Msimbazi kuwaadabisha...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022Musah Noah Kamara, mchezaji kandanda wa Sierra Leone, ameagwa kwa mapenzi na bashasha la kipekee kutoka kwa mkewe wakati akijiandaa kuelekea katika...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022MKUU mpya wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Simba nchini Tanzania, Ahmed Ally ameanza majukumu yake kwa ‘kuwazodoa’ watani...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2022AHMED Ally, aliyekuwa mtangazaji wa Azam Media ametambulishwa rasmi kuwa msemaji wa timu ya Simba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2022KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude amechgauliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu ya Simba mwezi Desemba kwenye tuzo za...
By Kelvin MwaipunguJanuary 2, 2022HATIMAYE mabingwa wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, imemtambulisha Danis Nkane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuJanuary 1, 2022KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kufunga mwaka 2021 kwa kishindo mara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, dhidi ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 31, 2021KOCHA mkuu wa klabu ya Simba Pablo Martin amemtakiwa kila la kheri mchezaji Ibrahim Ajibu mara baada ya kujiunga na Azam Fc...
By Kelvin MwaipunguDecember 31, 2021UONGOZI wa klabu ya Simba pamoja na benchi la ufundi kwa sasa wapo katika wakati mgumu juu ya kuamua hatma ya mkataba...
By Kelvin MwaipunguDecember 31, 2021MLINZI wa kulia wa klabu ya Yanga Raia wa Jamhuri ya Congo, Djuma Shaban yupo hati hati kuukosa mchezo wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguDecember 30, 2021KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba Ibrahim Ajibu amejiunga rasmi na matajiri wa jiji la Dar es Salaam, klabu ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 30, 2021WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikiendelea kupamba moto, kwa kupigwa michezo 11 kwa baadhi ya timu, vita nyingine imeibuka katika kutafuta mfungaji...
By Kelvin MwaipunguDecember 30, 2021KLABU ya soka ya Simba imevunja mikataba ya nyota wake wanne wa kigeni wakiwemo mastaa wao aliokuwa tegemeo katika kikosi hicho kwa...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2021KLABU ya Soka ya Yanga imemtangaza rasmi mlinda mlango Aboutwalib Hamidu Mshery kama usajili mpya ndani ya klabu hiyo akitokea kwenye kikosi...
By Kelvin MwaipunguDecember 29, 2021WAKATI mlinda mlango namba moja wa klabu ya Yanga Djigui Diarra akitimka kwa ajili ya kujiunga na kambi ya Timu ya taifa...
By Kelvin MwaipunguDecember 29, 2021Clatous Chama Raia wa Zambia akiwa na kikosi cha RS Berkane atakutana uso kwa uso na timu yake ya Zamani ya Simba...
By Kelvin MwaipunguDecember 28, 2021KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML imeidhamini Klabu ya soka ya Geita Gold Football Club kwa mkataba mnono wa thamani ya Sh...
By Gabriel MushiDecember 28, 2021Nguli wa muziki wa Rhumba kutoka Congo, Général Defao (63) amefariki dunia nchini Cameroon alikokwenda kutumbuiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Defao...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2021ZIKIWA zimebaki siku chache kuelekea kufunga mwaka 2021 na kukaribisha mwaka mpya wa 2022, kuna mambo mengi katika tasnia ya michezo yaliyofanyika...
By Masalu ErastoDecember 25, 2021KLABU ya Simba imewakata ngebe Kmc ambao walitamba hapo awali kuondoka na ushindi kwenye mchezo huo, mara baada ya kuwabugiza mabao 4-1,...
By Kelvin MwaipunguDecember 24, 2021WINGA wa klabu ya Simba Peter Banda anatarajia kutimka ndani ya kikosi cha Simba mara baada ya kujumuishwa kwenye kikosi cha Timu...
By Kelvin MwaipunguDecember 24, 2021MARA baada ya kupewa mkono wa kwaheri kwenye klabu yake ya Azam FC, kiungo Salum Abubakar “Sure Boy” huenda muda wowote kuanzia sasa...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2021KLABU ya KMC ya Kinondoni inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imetamba kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi...
By Kelvin MwaipunguDecember 24, 2021MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2021 visiwani Zanzibar, itaanza tarehe 2 hadi 13 Januari huku timu kumi zikithibitisha kushiriki ikiwemo bingwa mtetezi...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2021ZAIDI ya Watanzani 100 wamepata ajira katika mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo unaojengwa katika mtaa wa Magogo halmashauri ya...
By Gabriel MushiDecember 22, 2021SIKU 75 za wachezaji waandamizi wa vijana wa rambaramba Azam FC ya jijini Dar es Salaam, kukaa kifungoni zimemalizika na kurejea mazoezini...
By Mwandishi WetuDecember 21, 2021MSANII wa Bongo fleva na muigizaji katika tamthilia ya jua kali, Lulu Abasi maarufu kama Lulu Diva amepata msiba wa kuondokewa na...
By Masalu ErastoDecember 20, 2021VIJANA wa Jangwani jijini Dar es Salaam, Yanga wameendelea kuwapa furaha mashabiki wake, baada ya kuwadunda 2-1 maafande wa magereza, Tanzania Prisons....
By Mwandishi WetuDecember 19, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Bunge la nchi hiyo, baada ya kuibuka na makombe saba katika michezo mbalimbali...
By Mwandishi WetuDecember 19, 2021HATIMA ya Mwimbaji nguli wa mtindo wa Rumba wa kutoka Jamhuri ya Kidemorkasia ya Kongo (DRC), Koffi Olomidé inatarajiwa kufahamika leo tarehe...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021RAIS wa heshima wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Mohamed Dewji ameiomba bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo, kukutana ili kuandaa...
By Mwandishi WetuDecember 13, 2021BAADA ya kucheza dakika 630 bila kuibuka washindi katika Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2021/22, hatimaye timu ya Mtibwa Sugar, imeonja radhi ya...
By Gabriel MushiDecember 12, 2021Uongozi wa Klabu ya Yanga umeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu kutokana na tuhuma alizoishusha Yanga...
By Gabriel MushiDecember 12, 2021MTANANGE wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga uliopigwa leo tarehe 11 Disemba 2021, katika dimba la Mkapa jijini Dar...
By Mwandishi WetuDecember 11, 2021MTANGAZAJI ambaye pia ni mwigizaji wa Bongo Movies, Burton Mwamba ‘Mwijaku’ ameingia kwenye anga za mastaa wenziwe ambao wamejipachika majina maarufu ya ‘chawa’...
By Masalu ErastoDecember 11, 2021Simba waigomea TFF KATIKA hali ya kushangaza uongozi wa klabu ya Simba ulimzuia kocha wake mkuu Pablo Franco Martin kutoongea na waandishi wa...
By Mwandishi WetuDecember 10, 2021Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Novemba kwenye Ligi Kuu nchini England “EPL”,. Huku...
By Kelvin MwaipunguDecember 10, 2021MCHEZAJI kiraka wa klabu ya simba na Timu ya Taifa ya Tanzania Erasto Nyoni, amewataka mashabiki wa klabu ya Simba kujitokeza kwa...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2021RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameruhusu mashabki kuingia bure kwenye michezo miwili ya kirafiki kati ya Tanzania...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2021