Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Guardiola, Trend watamba tuzo mwezi Novemba Epl
Michezo

Guardiola, Trend watamba tuzo mwezi Novemba Epl

Pep Guardiolla
Spread the love

 

Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Novemba kwenye Ligi Kuu nchini England “EPL”,. Huku beki wa kulia wa klabu ya LiverPool Trend Alexander Arnold akichagulia kama mchezaji bowa wa Ligi hiyo kwa mwezi Novemba. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Ndani ya mwezi Novemba Beki huyo wa kulia wa Liverpool amecheza michezo mitatu, huku akifunga bao moja na kutoa pasi za mabao (assist) nne, katika mabao 10 yaliyofungwa na timu hiyo katika michezo hiyo mitatu.

Katika kinyang’anyiro hiko mchezaji huyo alikuwa akichuanao na Joao Cancelo na Bernardo Silva wote kutoka Manchester City, Diogo Jota kutoka Liverpool, Emmanuel Dennis Watford, na John McGinn wa Aston Villa.

Kwa upande wa Guardiola, katika mwezi Novemba amefanikiwa kuiongoza Manchester City kwenye michezo mitatu na kushinda yote na hivyo kutwaa tuzo hii kwa mara ya 10 toka alipojiunga na klabu hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!