Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Mkude mchezaji bora mwezi Desemba
Michezo

Mkude mchezaji bora mwezi Desemba

Jonas Mkude
Spread the love

 

KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude amechgauliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu ya Simba mwezi Desemba kwenye tuzo za kila mwezi (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mkude ameshinda tuzo hiyo mara baada ya kuwabwaga walinzi wa kati wa kikosi hiko Josh Onyango sambamba na Henock Ingonga Baka ambao waliingia katika fainali ya kinyanga’anyiro hiko.

Katika mwezi Desemba, Mkude amecheza mechi nne kati ya tano akihusika katika upatikanaji wa mabao mawili (assist) huku akionyesha kiwango bora.

Mkude atakabidhiwa pesa taslimu Sh 2,000,000 pamoja na tuzo kutoka kwa Wadhamini Emirate Aluminium ACP kama sehemu ya zawadi.

Katika mchakato huo Mkude alipata kura 2397 sawa na asilimia 43.93, Onyango akipata kura 2393 sawa na asilimia 43.85 na Inonga akiambulia kura 667 sawa na asilimia 12.22.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!