Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…
Michezo

Timu 10 kukiwasha Mapinduzi, Simba na Yanga…

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini
Spread the love

 

MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2021 visiwani Zanzibar, itaanza tarehe 2 hadi 13 Januari huku timu kumi zikithibitisha kushiriki ikiwemo bingwa mtetezi Yanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Michuano hiyo hufanyika kila mwaka kusherekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika tarehe 12 Januari 1964. Mwaka huu inatimia miaka 58 ya Mapinduzi.

Katika michuano hiyo, timu nne ni za Tanzania Bara ambazo ni Simba, Yanga, Namungo na Azam FC pamoja na sita za Zanzibar.

Kikosi cha Simba kikifanya mazoezi

Timu hizo zimegawanywa kwenye makundi matatu ya timu tatu tatu na kundi moja likiwa na timu nne.

Kundi A lina timu za Azam FC, Namungo FC, Yosso Boys na Meli City.

Kundi B kuna bingwa mtetezi Yanga, Taifa Jang’ombe na KMKM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

error: Content is protected !!