Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Denis Nkane atua Yanga
Michezo

Denis Nkane atua Yanga

Spread the love

 

HATIMAYE mabingwa wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, imemtambulisha Danis Nkane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Nkane anayecheza nafasi ya kiungo mahambuliaji, ametambulishwa leo usiku Jumamosi, tarehe 1 Januari 2022, kupitia kuraza za kijamii za Yanga.

Nkame amejiunga na miamba hao wa soka la Tanzania akitokea Biashara United ya mkoani Mara, alikoonesha uwezo mkubwa wa kusakata kandanda.

Ni kijana wa Kitanzania mwenye kipaji cha pekee anayeweza kukimbia na mpira kwa ufundi wa hali ya juu.

Mchezaji wa zamani wa Yanga, Mrisho Ngassa amenukuliwa akimzungumzia kuwa staa wa baadaye huku akiuomba uongozi wa timu hiyo kumpa jezi namba 16 aliyokuwa akiivaa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!