Michezo
KLABU ya Simba imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani Akilimali Yahya kilichotokea usiku nwa kumkia leo katika Hospitali...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021KLABU ya soka ya Simba inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imepangiwa kumenyana na kikosi cha Red Arrows ya kutoka nchini Zambia, kwenye...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021MARA baada ya kuchukua nafasi ya Sven Vandebroeck tarehe 24, Januari 2021, na kuanza kazi ya kukikonoa kikosi cha Simba katika kipindi...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021KLABU ya Soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imevunja mkataba na aliyekuwa kocha wake Mkuu, Didier Gomes Da Rosa, mara...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021SIMBA ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imetolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa kipigo cha 3-1, katika Uwanja wake...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2021Klabu ya Geita Gold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na aliyekuwa kocha wa kikosi hiko Ettiene Ndayilagije,...
By Kelvin MwaipunguOctober 24, 2021NI sikukuu ya wapenda soka. Siku kubwa na yenye mvuto wa aina yake ulimwenguni. Ndivyo unaweza kuielezea leo Jumapili, tarehe 24 Oktoba...
By Kelvin MwaipunguOctober 24, 2021TIMU kutoka Wete Kaskazini Pemba imenyakua ubingwa wa Kombe la Maalim Seif linalojulikana kama ‘Maalim Seif CUP’ katika fainali iliyochezwa jana tarehe...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2021MWANAMKE mmoja amefariki dunia huku mwanaume mmoja akijeruhiwa baada ya muigizaji Alec Baldwin kufyatua risasi kwa kutumia bunduki ya maigizo wakati wakiandaa...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021TIMU ya Simba ya jijini Dar es Salaam imejizoelea tuzo kibao za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) huku watani zao wakiambulia...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021JOHN Raphael Bocco, Nahodha wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba, ametwaa tuzo ya mchezaji bora (MVP) wa msimu 2020/21. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguOctober 22, 2021KIOO wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond platnumz amechaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA, akiwa ni msanii pekee kutokea Afrika mashariki...
By Masalu ErastoOctober 21, 2021KLABU ya Manchester United ya Uingereza jana tarehe 20 Oktoba, 2021 imenusurika kuambulia kipigo dhidi ya Atalanta wa Italia baada ya kutoka...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2021Klabu ya soka ya Newcastle United ya nchini Uingeleza imeachana rasmi na aliekuwa kocha wake Steven Bruce, baada ya makubaliano ya pande...
By Kelvin MwaipunguOctober 20, 2021MSHAMBULIAJI wa Liverpool ambaye pia ni raia wa Misri, Mohamed Salah amezidi kupamba moto kila panapokucha baada ya jana tarehe 19 Oktoba,...
By Masalu ErastoOctober 20, 2021TIMU ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, imeendelea kuonesha makucha yake katika ligi kuu NBC Tanzania Bara 2021/22, kwa kujikusanyia pointi...
By Kelvin MwaipunguOctober 19, 2021KOCHA mkuu wa klabu ya Yanga, Mohmed Nabi ameonekana mbogo, kutokana na kanuni ya kutumia wachezaji nane wakigeni katika mchezo mmoja, kitu...
By Kelvin MwaipunguOctober 19, 2021KLABU ya soka ya Simba kupitia bodi ya wakurugenzi, imeitisha mkutano mkuu wa mwaka ambao utafanyika Tarehe 21, Novemba 2021 kwenye ukumbi wa...
By Kelvin MwaipunguOctober 19, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesongeza mbele mechi kati ya Tanzania Prisons dhida ya Biashara United iliyokuwa ichezwe kesho Jumanne...
By Masalu ErastoOctober 18, 2021BEKI wa kulia wa timu ya wananchi- Yanga SC. Paul Godfrey Nyang’anya maarufu kama ‘Boxer’ amepata pigo baada ya kuondokewa na baba...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema haendi nje ya nchi kucheza, bali anakwenda kutafuta fursa za maendeleo ya nchi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021DAKIKA tatu zimetosha kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba kuanza safari vyema ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika...
By Kelvin MwaipunguOctober 17, 2021NBC PremierLeague inarejea leo Jumamosi tarehe 16 Oktoba, 2021 kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja viwili tofauti. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021KOCHA wa kikosi cha Biashara United, Moses Odhiambo amesema kuwa ubora wa wachezaji wake ndio siri kubwa ya kupata ushindi dhidi ya...
By Kelvin MwaipunguOctober 15, 2021KLABU ya soka ya Yanga, imebadili gia angani kwa kurudisha mchezo wao dhidi ya Azam FC, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar...
By Kelvin MwaipunguOctober 15, 2021SHIRIKISHO la mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limeruhusu klabu ya Simba kuingiaza mashabiki, kwenye mchezo wa klabu Bingwa Barani Afrika dhidi...
By Masalu ErastoOctober 15, 2021Washambuliaji wawili wa klabu ya soka ya Simba Chriss Mugalu na Yussuf Mhilu wanatarajiwa kuikosa Mechi Kati ya Simba na Jwaneg Galaxy...
By Masalu ErastoOctober 15, 2021TIMU ya Geita Gold imezipiga mkwara timu shiriki za Ligi Kuu Tanzania bara, kwamba zisitegemee mteremko kwa mechi zake zitakazochezwa uwanja wake wa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021JUMLA ya wachezaji 13 wamechaguliwa kuwania tuzo mbalimbali za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mimu wa 2020/21, katika vipengele tofauti tofauti. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguOctober 14, 2021UONGOZI wa klabu ya Soka ya Biashara United kutoka mkoani Mara, umesema kikosi chao kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kombe...
By Masalu ErastoOctober 14, 2021ALIYEKUWA Afisa Habari wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya Simba, Haji Manara amepanga kuifikisha klabu hiyo mahakamani kwa kuwadai...
By Kelvin MwaipunguOctober 14, 2021KAMPUNI ya udalali ya Greenlight kwa idhini ya Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya Kinondoni kituo cha Ukonga, jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021NAHODHA wa Timu ya Taifa ya Ureno na Staa wa Manchester United Cristiano Ronaldo, ameweka rekodi mpya mara baada ya kupachika mabao...
By Kelvin MwaipunguOctober 13, 2021KLABU ya Soka ya Yanga, imepigwa faini ya Dola za kimarekani 5,000 sawa na Sh. 11 milioni za kitanzania, na Shirikisho la...
By Kelvin MwaipunguOctober 12, 2021BONDIA wa Tanzania, Abdallah Pazi maarufu kama ‘Dulla Mbabe’ ametangaza rasmi kujiweka kando na masuala ya masubwi mpaka mwakani hii. Anaripoti Damas...
By Masalu ErastoOctober 11, 2021TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imerejea tena kwenye usukani wa kundi J, katika harakati za kutafuta tiketi za kufuvu fainali za...
By Kelvin MwaipunguOctober 10, 2021Bondia Tyson Fury kutoka Uingereza leo tarehe 10 Oktoba, 2021 amemtwanga kwa knock out katika raundi ya 11 bondia Deontay Wilder kutoka...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021TIMU ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imenyakua ubingwa wa michuano ya nchi za ukanda wa kusini mwa Afrika (Cosafa)...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2021MSHAMBULIAJI wa klabu ya Manchester United Marcus Rashford, ametunukiwa tuzo ya juu ya Udokta wa heshima, iliyotolewa na Chuo Kikuu cha Manchester kutokana...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021Klabu ya soka ya Newcastle ya nchini Uingereza jana Oktoba 7, 2021 imekamilisha dili la kuuza hisa zake katika kampuni la Saudi...
By Masalu ErastoOctober 8, 2021KIUNGO mkabaji wa klabu ya Yanga, Zawadi Mauya amejmuishwa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kilichosafiri kuelekea Benin mara...
By Kelvin MwaipunguOctober 8, 2021MARA baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Benin kwa bao 1-0, kocha wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim...
By Kelvin MwaipunguOctober 7, 2021TIMU ya soka ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imetinga fainali ya michuano ya COSAFA inayofanyika nchini Afrika Kusini. Anaripoti Damas Ndelema,...
By Masalu ErastoOctober 7, 2021Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki 10,000 kuingia uwanjani kwenye mchezo wa kufuzu fainali kombe la Dunia kesho...
By Kelvin MwaipunguOctober 6, 2021SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imeingia mkataba na Benki ya NBC wenye thamani ya Sh.2.5 bilioni bila Kodi ya Ongezeko la Thamani...
By Kelvin MwaipunguOctober 6, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude ameondolewa kwenye kambi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kutokana na matatizo ya...
By Kelvin MwaipunguOctober 5, 2021BEKI wa kulia wa klabu ya Yanga, Kibwana Shomari ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kuchukua nafasi...
By Kelvin MwaipunguOctober 5, 2021KUELEKEA mchezo wa kufuzu kwa michuano ya Kombe la Dunia dhidi ya Benin mlinzi wa kati wa timu ya Taifa ya Tanzania...
By Kelvin MwaipunguOctober 5, 2021TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘’Twiga Stars’’ imeendeleza ubabe katika michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Ukanda...
By Masalu ErastoOctober 4, 2021CRISPIN Ngush, mchezaji wa Mbeya Kwanza nchini Tanzania, aliyefunga bao maridadi kisha kuishiwa nguvu na kupelekwa hospitalini, ameruhusiwa kurejea kambini kuungana na...
By Masalu ErastoOctober 4, 2021